Essien mwenye jezi nyeupe
Mchezaji huyo raia wa Ghana mwenye miaka 29 atajiunga na bosi wake wa zamani Jose Mourinho ambaye alimpeleka Chelsea mwaka 2005.
Essien aliichezea Chelsea mara 247 katika misimu 7 na kufunga magoli 25 na kufanikiwa kuchukua tuzo ya goli la msimu mara mbili
0 comments:
Post a Comment