RihannaAlimanusura

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Tuesday, 18 September 2012

Patrice Evra Kurudi Uwanjani Kwenye Champions League Man United Dhidi Ya Galatasaray

Posted on 22:57 by Unknown

Patrice Evra

Baada ya kukosa mechi ya Premier League dhidi ya Wigan, Patrice Evra anatarajiwa kurudi  uwanja leo wakti Manchester United watakapoumana vikali na Galatasaray kwenye mchuano wa kukata na shoka wa Champions League utakaopigwa huko Old Trafford.

Beki huyo mfaransa alipata majeraha kidogo kwenye mechi ya kimataifa ya taifa lake la Ufaransa na alijikuta akiangali wenzake wakimtwanga vilivyo Wigan kwenye dimba lao la Old Trafford huku akiona kiwango cha mchezaji mpya beki wa namba yake Alex Buttner.

Wakati Evra naoneka bado kuwa chaguo namba moja la Ferguson, kuwasili kwa Buttner na kiwango alichoonesha pamoja na msaada wake mkubwa wa kuifanya Man United washinde mechi yao dhidi ya Wigan, inaonekana kutakuwa na ushindani mkuwa kati yao wawili.

Pamoja na kutokuwepo uwanjani kwa Wayne Rooney, Chriss Smalling na Phil Jones, United walionekana bado wana nguvu kwa kuwepo kwa mturuki Alex Buttner.

Robins Van Persie na Shini Kagaawa walifanya training pamoja na Darren Fletcher ambaye karibu anarudi uwanjani baada ya kuwa majeruhi kwa muda mrefu sana.

Baada ya kuapata dissappointment mwaka jana baada ya timu yake kutolewa kwenye hatua ya makundi, Alex Ferguson ameahidi kutokujirudia kwa kosa hilo mwaka huu. Nayo ndiyo sababu hakutaka hata kumchosha Van Persie huku Ryan Giggs akionekana kuwa kingo muhimu sana wa United. 

Sir Alex Ferguson alisema, "Robin has the experience of playing in Europe with Arsenal. The goals he has got will hopefully give us that extra edge this season. Shinji is that kind of player who will thrive in Europe, where possession is key. He keeps the ball and gets into positions where he is hard to pick up. I am sure they will both be very good additions in Europe for us."

Pia aliongeza kusema, "We need to win our home games. Usually 10 or more points gets you through, which means winning at home and trying to draw away. We didn't manage it last year because we didn't perform at Old Trafford the way we have done in the past."

Mechi ya Man United na Galatasaray itapigwa majira  ya 19:45 pm saa za ulaya.




Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Pictures of the Chinese baby Who fell into sewage pipe accidentally
    Being rescued Being fed Taken care of
  • East African Affairs ministers meet in Arusha
    East African Affairs ministers meet in Arusha
  • Rihanna Alimanusura Uso kwa Uso na Mpenzi wa Mpya wa Chris Brown. Via DailyMirror.
                    Six minutes, people. Let's all breathe a sigh of relief We must be getting old, because when we read that Rihanna turned...
  • Huyu Hapa ni Jonas wa Valencia
    Ni ngumu sana kumzungumzia Jonas kama mshambuliaji lakini historia na kipaji vyote anavyo.   Jonas mwenye miaka 28 alikuwa mfungaji bora w...
  • Didier Drogba and His Colleague Anelka Aren't Paid..!!
    Shenhua Shanghai, the Chinese Super League club that made the game-changing move to sign ex-Chelsea stars Nicolas Anelka and Didier Drogba...
  • Ferguson, Manchester United, and the Phantom Manager
    Ferguson, Manchester United, and the Phantom Manager
  • Lionel Messi Ataweza Kuvunja Rekodi Ya Marouane Chamakh?
    Ukimtaja Marouane Chamakh kwa mashabiki wa Arsenal utapata maoni mbalimbali lakini wachache sana watatoa maoni chanya.  Mshambuliaji Maroua...
  • Shanghai Shenhua Huenda Wakampoteza Drogba
    Kibarua cha mchezaji wa zamani wa Chelsea Didier Drogba huenda kikafika kikomo kwenye timu yake mpya ya Shanghai Shenhua baada ya kutokea k...
  • Baware/Chukua Tahadhari: OnLine Theft-Wizi Wa Kwenye Mtandao
    Ukiziangalia e-mails hizi hapa unaweza kudhania utaibuka tajiri mkubwa Duniani. Kumbe ni janja ya baadhi ya majitu ambayo hayafanyi kazi bal...
  • Falcao - 'Just a step away from Manchester United'. Via HITC SPORT
    Manchester United are being linked with Falcao. News like a bombshell is emerging from Spain this morning, although time will tell ultimatel...

Blog Archive

  • ►  2013 (192)
    • ►  August (53)
    • ►  July (29)
    • ►  June (40)
    • ►  May (10)
    • ►  April (9)
    • ►  March (28)
    • ►  February (6)
    • ►  January (17)
  • ▼  2012 (308)
    • ►  December (47)
    • ►  November (18)
    • ►  October (48)
    • ▼  September (125)
      • Liverpool Waliompa Kipigo Norwich Hawa Hapa
      • Picha 4 za Jinsi Man United Walivyokamatwa na Spur...
      • Spurs Yawachapa Kipigo Red Devils
      • Manchester United and Tottenham Hotspurs Clash His...
      • Eto'o Atangaza Kurudi Timu ya Taifa
      • Roberto Di Matteo na Mechi ya Leo Dhidi ya Arsenal
      • Arsenal Dhidi ya Chelsea Kesho
      • Why Cristiano Ronaldo Is the Tiger Woods of World ...
      • John Terry – Guilty and Not Guilty…What’s the diff...
      • Do You Know What Was Darren Fletcher's Dream?
      • John Terry is GUILTY in Racism Scandal
      • Wigan boss charged over post match comments agains...
      • Mourinho Could Manage Into His 70s: Originally Rep...
      • Rihanna with Her New Single "Diamonds"
      • 50 Cent Investigation
      • BBC apologises to queen over Abu Hamza story. Via ...
      • Man kills 5 children, commits suicide Via @Capital...
      • Manchester United: Rating the United Players in Li...
      • What Does Patrice Evra Say About Shaking Hands Wit...
      • This is Mark Harsely in Action During Manchester v...
      • Do You Know What Happened to Referee Harsely After...
      • Wanna Know Something About Kanye West? Just Click ...
      • The Former Heavyweight Champion Shot Dead
      • These are The Ones Who Scored For Manchester Unite...
      • Angalia Picha za Matukio ya Mechi za EPL Jumamosi ...
      • Manchester United vs Liverpool: The b/r Writes
      • This is How John Terry Retires
      • Do You Want to Know About Patrice Evra's Performan...
      • Do You Want to Know What's up With Rio Ferdinand a...
      • Did You Know That Mario Balotelli Smokes? Well, He...
      • New Zidane for Man United
      • Drogba na Maisha Yake Ya Uchina
      • Ruben Castro Naye Huyu Hapa
      • Huyu Hapa ni Jonas wa Valencia
      • Yaya Toure Anazungumziwaje.?
      • David De Gea Anazungumziwaje..?
      • Nani And His Penalty
      • Di Mateo Blames On Players For The Draw
      • Simba Imara, Simba Imara; Yanga ...... Yanga ......
      • Manchester United 1, Galatasaray 0; Chelsea 2, Juv...
      • Ona Jinsi Makocha Walivyo Uwanjani....
      • Huyu Ndiyo Waziri Mkuu Mpya wa Somalia Atakayeapis...
      • Wanafunzi Waombwa Kujikita Mbali na Ngono
      • Simba na Yanga Viwanjani Tena Leo Ligi ya Bara
      • Arsenal Nao Waliliza Mtu Jana Champions League
      • Hawa Ndiyo Real Madrid Waliowafunga Man City Champ...
      • David de Gea na Anders Lindegaard Kugawana Majukum...
      • Patrice Evra Kurudi Uwanjani Kwenye Champions Leag...
      • Champions League Fixtures
      • Champions League: Manchester City vs Real Madrid. ...
      • Manchester United Transfer News: Ronaldo, Fellaini...
      • These are Sevilla Men Who Beat Up Real Madrid
      • This is What The Independence Reports: "If Real Ma...
      • Tsvangirai And His Marriages
      • Matukio Katika Picha Mechi Za Jana Huko Uingereza
      • English Premier League, Yesterday's Results
      • ESPN WRITES; "All Eyes On Ronaldo in Seville"
      • LIGI YA TZ BARA KUANZA LEO
      • Here Are The Football Matches For Saturday and Sun...
      • Injuries In Manchester United, via Bleacher Report
      • "Arsenal Does not Need Didier Drogba", Says Wenger...
      • A tribute to Ryan Giggs - A man for all seasons
      • Lionel Messi Ataweza Kuvunja Rekodi Ya Marouane Ch...
      • Exclusive on www.millardayo.com Elinaja ft Barnaba...
      • This Is The Full Statement of US President On The ...
      • Kwa Ufupi Soma Maoni Ya Wamarekani Kwenye "The Tel...
      • Barack Obama Condemned The Killing Of US Ambassado...
      • Kenya PM backs new Somalia president via Capital F...
      • Kikwete recognises Kenya’s role in Somalia transit...
      • January is not too early for Manchester United to ...
      • What Raheem Sterling's England call-up proves
      • Arsenal - Is Coquelin right or the next Wright?
      • Fire In Pakistan As Reported By CNN
      • Hawa Ndiyo Majeruhi wa Old Trafford
      • Jones With A Knee Surgery
      • Shinji Kagawa Is Injured
      • This Is The New President Of Solmalia
      • As Written By The Bleacher Rport: 10 Reasons Fans ...
      • Wayne Rooney Asema, 'Lionel Messi Ni Zaidi Ya Cris...
      • Check Out This Email....
      • John Terry Nje Ya Kikosi Cha England Mechi Moja
      • US warns Asia-Pacific leaders
      • Asia-Pacific nations pledge growth, fret over econ...
      • Jessica Simpson Says, "My Body Isn't Bouncing Back...
      • Wayne Rooney Kumalizia Soka Lake Manchester United
      • 80 Died And Hundreds Wounded After China's Earthqu...
      • Kenyan Teachers' Strike As Reported By Capital FM
      • Obama Tells Americans: Give Me Another Chance!
      • Neymar? Damiao? What is going on at Manchester Uni...
      • As Reported By HITC About Steven Gerrard
      • James Mbatia Na Wilbrod Slaa Wanasema Nini Leo?
      • Wayne Rooney admits he has returned to training se...
      • Villas-Boas, Chelsea, and Falcao
      • Mourinho Akataa Kuongelea Suala La Ronaldo
      • Wayne Rooney Kuwa Midfielder.?
      • Afrika Ya Kusini Yaporomoka Nafasi 7 FIFA
      • Spain leads FIFA rankings as Europe takes top 4 pl...
      • CHADEMA Waikataa Tume Ya Uchunguzi
      • DNC 2012 - Day 2 Best Moments: Bill Clinton, Sandr...
      • What Does Bill Clinton Say About Mitt Romney's Pre...
    • ►  August (70)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile