Wataendeleza ushindi dhidi ya JKT Ruvu leo?
Picha za Simba na: TEEN TZ.COM
Wakati huo huo Yanga nao wanakumbukumbu ya kuvutwa shati kwenye mechi yao ya ufunguzi pale walipoumana na Prisons ya Mbeya ya kutoka suluhu. Leo lazima wajitahidi vilivyo ili mashabiki wao wapate amani mioyoni mwao, la sivyo hakitaeleweka kabisa.
Watadance leo
Lazima kocha Tom awatumie vizuri wachezaji wake wa kulipwa akina Kiiza, Twite pamoja wenyeji wa bongo kana akina Bahanuz ili angalao wapate ushindi utakaowaondolea aibu ya kufungwa mara au kutoka droo nyingine.
Atacheka leo?
0 comments:
Post a Comment