RihannaAlimanusura

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Wednesday, 22 August 2012

Chelsea 4, Reading 2

Posted on 23:29 by Unknown

Hivi ndivyo ilivyokuwa kwenye mechi ya 
English Premier League jana Jumatano kati ya Chelsea 
na Reading huko Stamford Bridge ambapo Chelsea 
waliibuka na ushindi wa magoli 4-2.

Frank Lampard akifunga goli

Mchezo huo ulipigwa jana Jumatano ambapo 
kwa Reading iliyopanda daraja msimu huu ulikuwa 
ni wa kwanza kwake na kukaribishwa kwa kipigo hicho cha 4-2.

Reading wakishangilia baada ya Danny Guthrie, 
wa pili kushoto kufunga goli.

Hivi ndivyo Frank Lampard alivyofunga 
goli kwa penati kwenye dakika ya 18

Meneja wa Reading, Brian McDermott alilalamikia 
goli la Torres kwamba alikuwa offside wakati akifunga 
na hata alijaribu kumueleza mwamuzi msaidizi lakini 
haikusaidia kitu. Alisikika akisema kwamba ni kitendo 
cha aibu sana kwa refa kufanya kosa kama lile. 

Hivi ndivyo Danny Guthrie wa Reading alivyofunga goli.

Wakati chelsea walipopata goli la penati kwa shuti la
 Lampard, Reading walikuja juu kupitia Pavel Pogrebnyak 
alipofunga goli la kwanza kwa kichwa na 
Danny Guthrie kufunga la pili kwa shuti la moja kwa moja.

Branislav Ivanovic wa Chelsea akifunga goli la nne

Katika dakika ya 69 Gary Cahill naye alipiga 
shuti la mbali lilimfanya kipa wa Reading 
Adam Federici ausindikize mpira nyavuni.

Ndivyo lilivyokuwa goli la Torres

Kwa mtindo huu inaonesha Chelsea wamedhamiria sio tu kuwa mabingwa wa Ulaya bali hata kulitwaa kombe la English Premier League linalowaniwa kwa nguvu zote na Man United ambao walinyang'anywa msimu uliopita na mahasimu wao Man City ambapo Man City nao wanataka kulibakiza kwani mechi yao ya kwanza pia waliianza vizuri japo walishinda kwa mbinde sana.

Msomaji unaweza ukatabiri ni nani atakuwa bingwa wa Uingereza mwaka huu? Kazi kwako..!!
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Pictures of the Chinese baby Who fell into sewage pipe accidentally
    Being rescued Being fed Taken care of
  • East African Affairs ministers meet in Arusha
    East African Affairs ministers meet in Arusha
  • Rihanna Alimanusura Uso kwa Uso na Mpenzi wa Mpya wa Chris Brown. Via DailyMirror.
                    Six minutes, people. Let's all breathe a sigh of relief We must be getting old, because when we read that Rihanna turned...
  • Huyu Hapa ni Jonas wa Valencia
    Ni ngumu sana kumzungumzia Jonas kama mshambuliaji lakini historia na kipaji vyote anavyo.   Jonas mwenye miaka 28 alikuwa mfungaji bora w...
  • Didier Drogba and His Colleague Anelka Aren't Paid..!!
    Shenhua Shanghai, the Chinese Super League club that made the game-changing move to sign ex-Chelsea stars Nicolas Anelka and Didier Drogba...
  • Ferguson, Manchester United, and the Phantom Manager
    Ferguson, Manchester United, and the Phantom Manager
  • Lionel Messi Ataweza Kuvunja Rekodi Ya Marouane Chamakh?
    Ukimtaja Marouane Chamakh kwa mashabiki wa Arsenal utapata maoni mbalimbali lakini wachache sana watatoa maoni chanya.  Mshambuliaji Maroua...
  • Shanghai Shenhua Huenda Wakampoteza Drogba
    Kibarua cha mchezaji wa zamani wa Chelsea Didier Drogba huenda kikafika kikomo kwenye timu yake mpya ya Shanghai Shenhua baada ya kutokea k...
  • Baware/Chukua Tahadhari: OnLine Theft-Wizi Wa Kwenye Mtandao
    Ukiziangalia e-mails hizi hapa unaweza kudhania utaibuka tajiri mkubwa Duniani. Kumbe ni janja ya baadhi ya majitu ambayo hayafanyi kazi bal...
  • Falcao - 'Just a step away from Manchester United'. Via HITC SPORT
    Manchester United are being linked with Falcao. News like a bombshell is emerging from Spain this morning, although time will tell ultimatel...

Blog Archive

  • ►  2013 (192)
    • ►  August (53)
    • ►  July (29)
    • ►  June (40)
    • ►  May (10)
    • ►  April (9)
    • ►  March (28)
    • ►  February (6)
    • ►  January (17)
  • ▼  2012 (308)
    • ►  December (47)
    • ►  November (18)
    • ►  October (48)
    • ►  September (125)
    • ▼  August (70)
      • Berbatov Aenda Fulham
      • "Hatutamwongezea Mshahara Walcott," Asema Wenger
      • Bangi Yakamatwa Namanga Ikitokea TZ..!!
      • Baware/Chukua Tahadhari: OnLine Theft-Wizi Wa Kwen...
      • Umeshaona Anavyokabwa Messi Uwanjani? Angalia Hapa
      • Ronaldo Na Mourinho, Nani Muhimu Sana Kwa Madrid?
      • Jinsi Ilivyokuwa Kati Ya Madrid Na Barcelona Kweny...
      • Torres Anauhakika Wa Kuziba Pengo La Drogba Chelsea
      • Shanghai Shenhua Huenda Wakampoteza Drogba
      • Shanghai Shenhua may lose Didier Drogba following ...
      • Champions League Itakuwa Hivi..!!
      • Player of the day: Theo Walcott - Arsenal News fro...
      • Huyu Hapa Ni Usain Bolt
      • Didier Drogba returns to Chelsea?
      • Msimu wa Ligi Hispania: Nani zaidi Kati Ya Ronaldo...
      • Rio Ferdinand's return for Manchester United delay...
      • Walcott Kwenda Man City?
      • Unamfahamu Antonio Valencia? Huyu Hapa
      • Steven Gerrard - Can Liverpool teach an old dog ne...
      • Picking the Premier League Team of the Weekend
      • Seven Manchester United players who could leave be...
      • Post From A Chelsea Fan - Believe Me, Wayne Rooney...
      • Why Andy Carroll must stay at Liverpool
      • Hivi Umesikia Shinji Kagawa Amesema Nini Kuhusu Si...
      • Barclays English Premier League: Hivi Ndivyo Ilivy...
      • Je, Ulimfahamu Meles Zenawi.? Mjue Hapa Kidogo
      • Ulisikia Habari za Muuaji Wa Watu 77.? Huyu Hapa..!!
      • Where has it all gone wrong for Nani at Manchester...
      • Barclays Premier League: Who Will Continue Losing ...
      • Habari Zaidi Kuhusu Chelsea Hizi Hapa
      • Picha 13 za Mechi Ya Barcelona Dhidi Ya Madrid Hiz...
      • 10 Arsenal players who could leave before the tran...
      • Eden Hazard - 'Unselfish and pure class'
      • Manchester United - One more signing?
      • Seven players who could leave Chelsea before the t...
      • Sergio Ampa Ahueni Roberto Mancini
      • KISS: Lady Gaga is only new rock star
      • Mechi za Weekend 25 na 26 Agosti za English Premie...
      • Chelsea 4, Reading 2
      • Emmanuel Adebayor completes permanent move to Tott...
      • Chelsea latest: Including Bertrand and Schurrle
      • Manchester United can take positives after Everton...
      • Chelsea's Roberto Di Matteo spoilt for choice as h...
      • Five reasons for Arsenal fans to be confident not ...
      • Ferguson, Manchester United, and the Phantom Manager
      • Nani Huenda Akatoswa Man United
      • Yanga Waenda Rwanda
      • Dr. Dalali Kafumu Anyang'anywa Ubunge
      • Danny Welbeck takes Sir Alex Ferguson's advice as ...
      • Man United Wapoteza Kete Ya Kwanza..!!
      • Kaka Kwenda Man United Kwa Mkopo
      • Manchester United latest: Including Kaka and Buttner
      • Breezy, tuneful 'Sparkle' | Reuters | Movies | San...
      • Man City Nao Wawachapa Southampton 3-2
      • Ferguson weighs up van Persie debut - Hindustan Times
      • Chelsea Vs Wigan Athletic: Hivi Ndivyo Ilivyokuwa
      • Hili Ndilo Kombe la BankABC Super8 Walilotwaa Simb...
      • Simba Watafanya Nini Leo?
      • Ona Jinsi Marefa Wanavyopata Shida Uwanjani..!!
      • Can Lukas Podolski outshine Robin Van Persie?
      • Chelsea Latest: Includes Torres and Hutchinson
      • Manchester United Fans May Have Cause To Worry Abo...
      • Why Shinji Kagawa will be Manchester United’s diff...
      • Ni Sawa Tu Kwa Arsenal Kumaliza Mashindano Bila Ub...
      • Alex Song Could Follow Van Persie's Steps Out Of A...
      • Wenger Asema, Walilazimika Kumuuza RVP
      • Hivi unajua MwanaSpoti Liliandika Nini Kumuhusu Mb...
      • Manchester United latest: Including Van Persie and...
      • If You Missed England Vs Italy Game. Here Are Pict...
      • Jermain Defoe an option for Sunderland - SAFC news...
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile