RihannaAlimanusura

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Friday, 24 August 2012

Habari Zaidi Kuhusu Chelsea Hizi Hapa

Posted on 05:37 by Unknown
1. Fernando Torres Awaasa Wenzake

 Fernando Torres ambaye inaonekana ameuanza msimu vizuri sana

Amewaambai wenzake kwamba kama wanataka kuutwaa ubingwa wa Uingereza basi wasifanye makosa yoyote katika msimu huu wa ligi.

Kesho Jumamosi 25 Julai Chelsea watapambana na Newcastle kwenye uwanja wa Stamford Bridge wakiwa kileleni mwa ligi kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2010 baada ya kushinda mechi zao mbili za kwanza.

Torres alisema, "Hatuwezi kupoteza mechi mapema kwani Man City walishinda mechi nyingi msimu uliopita. Hivyo tunahitaji kuanza ligi vizuri. Siku zote ni muhimu kuanza vizuri na ukiangalia msimamo unaiona Chelsea iko juu. Pointi tisa kwa mechi tatu za kwanza ndilo lengo letu." Alisema Muhispania huyo wa Chelsea na kuongeza, "Ni muhimu baada ya mechi 10 kwa timu kuendelea kubakia kileleni, hivyo itamaanisha kwamba hiyo ndiyo nafasi yako."

Msimu uliopita Chelsea walishinda ligi ya mabingwa pamoja na FA Cup lakini Torres anakubali kwamba kushika nafasi ya sita kwenye kwenye ligi inaonesha ni jinsi gani wanahitaji kuongeza juhudi.

Torres aliongeza kusema, "Premier League inaonesha uko kwenye levo gani kwa sababu inachezwa kwa mwaka mzima, lakini mashindano ya kugombea Kombe fulani ni tofauti. Sisi ni timu kubwa na nzuri, tuna uwezo na mbinu nyingi za kupambana na kushinda vikombe na tunaweza kuifunga timu yoyote lakini ligi inakuonesha levo uliyopo na msimu uliopita tulimaliza nafasi ya sita. Ni lazima tuongeze juhudi." Aliendelea kusema, "Ni lazima tutambue kuwa ligi ya mabingwa siyo rahisi kushinda kila mwaka hivyo hatua ya kwanza ni kuwa kwenye nne bora-hicho ni kitu cha kawaida kwa Chelsea. Sasa lazima tuutafute ubingwa wa Uingereza, kama unawaza nafasi ya kwanza basi unaweza kuifikia, hata ya pili na ya tatu, lakini kama unawaza tu kuwa ndani ya nne bora basi unaweza kupoteza."

Torres akiwa katika moja wapo ya wakati wake wa shangwe

Torres aliianza kampeni yake vizuri hasa baada ya kufunga dhidi ya Man City kwenye Community Shield na mechi kati yao na Reading ambapo walishinda 4-2.

Ivanovic alisema, "Didier Drogba alikuwa ni wa muda mrefu sana, na ni mmoja kati ya wachezaji muhimu wa timu hii. Kuwakosa wachezaji kama yeye ni ngumu sana. Kila mtu anajua jinsi gani atacheza na hakuna anayeweza kumzuia. Sasa tumebadilika sana, siyo washambuliaji tu bali safu yote ya mbele. Kila mmoja anafuraha na kumwamini Fernando. Anafanya kazi nzuri sana. Anafanya mengi sana kwa timu na tunafurahi sana kumwona akifunga kwa sababu anastahili. Tunafahamu jinsi gani atacheza msimu huu."


2. Cesar Azpilicueta Akamalisha Saini Yake Chelsea


Mlinzi huyu wa Uhispania amekamilisha uhamisho wake toka Marseille kwenda Chelsea. Mchezaji huyo mwenye miaka 22 ambaye ni beki wa kulia imeripotiwa kwamba amejiunga na mabingwa hao wa Ulaya kwa dola milioni 7.

Azpilicueta ambaye ameiwakilisha Spain kwenye mashindano mbalimbali ya vijana na alishiriki mashinda ya Olympic yaliyoisha siku chache zilizopita, alisafiri kwenda Uingereza usiku wa jana ili kutia saini yake Chelsea na hivyo alikosa mechi ya timu yake ya Europa League qualifier dhidi ya FC Sheriff Tiraspol iliyopigwa jana usiku.

"Timu ya Chelsea inayofuraha kutangaza kwamba Cesar Azpilicueta  amesaini kuichezea timu yetu." Ilisema taarifa toka Uongozi wa Chelsea.

3. Ofa Ya Chelsea Kumchukua Moses Yakubalika

 
 Huyu ni Victor Moses wa Wigan Athletic

Timu ya Wigan imekubali ofa toka kwa Chelsea ya kutaka kumsajili mchezaji wao Victor Moses.

Chombo kimoja cha habari kilisema jana usiku kwamba baada ya Wigan kukubali ofa ya Chelsea wamempa ruhusa Moses afanye mazungumzo na timu ya Chelsea.

Habari toka Wigan zilisema, "Timu  yetu inathibitisha kwamba baada ya maombi manne toka Chelsea ya kumtaka Moses kugonga mwamba, ombi lao la tano leo limefanikiwa baada ya kukutana na matakwa na masharti yetu. Hivyo mchezaji amepewa ruhusa ya kuzungumza na Chelsea."


Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Pictures of the Chinese baby Who fell into sewage pipe accidentally
    Being rescued Being fed Taken care of
  • Didier Drogba and His Colleague Anelka Aren't Paid..!!
    Shenhua Shanghai, the Chinese Super League club that made the game-changing move to sign ex-Chelsea stars Nicolas Anelka and Didier Drogba...
  • Sir Alex's All-Time Best Quotes
    Here are some of his most memorable quotes: On his mission after being appointed to the post: "My greatest challenge is not what's ...
  • Deabte: Who is Chelsea's Best Footballer Up to Now?
    Let people know your views on the best footballer in Chelsea right now.
  • Will Robeerto Mancini Last Long?
    According to HITC SPORT   What does a potential Champions League exit mean for Roberto Mancini and Manchester City? Despite a positive start...
  • Gareth Bale Pulls Out of Tottenham's Preseason Monaco Trip | Bleacher Report
    Gareth Bale Pulls Out of Tottenham's Preseason Monaco Trip | Bleacher Report
  • U.S. election — It’s all over but for the rage. Via TheStar.com
    By Mitch Potter   Washington Bureau                      Barack Obama and Mitt Romney Thestar.com reported:- It’s all over but the c...
  • Hii Ndiyo Kauli Waliyoitoa Everton kwa Manchester United kwa Kuwataka Baines na Fellaini
    A Club statement confirms bids for two players rejected. Source:   http://www.evertonfc.com/news/archive/2013/08/19/cl... Everton can confir...
  • Do You Know Who Said, "Joe Hart is World's Best Goalkeeper"?
    Joe Hart has been hailed as the world's best goalkeeper by Wayne Rooney after a stunning performance kept Manchester City's Champ...
  • BBC apologises to queen over Abu Hamza story. Via @ Capital FM-Kenya
    LONDON, Sep 25 – The BBC apologised to Britain’s Queen Elizabeth II on Tuesday after revealing that she raised concerns with a previous go...

Blog Archive

  • ►  2013 (192)
    • ►  August (53)
    • ►  July (29)
    • ►  June (40)
    • ►  May (10)
    • ►  April (9)
    • ►  March (28)
    • ►  February (6)
    • ►  January (17)
  • ▼  2012 (308)
    • ►  December (47)
    • ►  November (18)
    • ►  October (48)
    • ►  September (125)
    • ▼  August (70)
      • Berbatov Aenda Fulham
      • "Hatutamwongezea Mshahara Walcott," Asema Wenger
      • Bangi Yakamatwa Namanga Ikitokea TZ..!!
      • Baware/Chukua Tahadhari: OnLine Theft-Wizi Wa Kwen...
      • Umeshaona Anavyokabwa Messi Uwanjani? Angalia Hapa
      • Ronaldo Na Mourinho, Nani Muhimu Sana Kwa Madrid?
      • Jinsi Ilivyokuwa Kati Ya Madrid Na Barcelona Kweny...
      • Torres Anauhakika Wa Kuziba Pengo La Drogba Chelsea
      • Shanghai Shenhua Huenda Wakampoteza Drogba
      • Shanghai Shenhua may lose Didier Drogba following ...
      • Champions League Itakuwa Hivi..!!
      • Player of the day: Theo Walcott - Arsenal News fro...
      • Huyu Hapa Ni Usain Bolt
      • Didier Drogba returns to Chelsea?
      • Msimu wa Ligi Hispania: Nani zaidi Kati Ya Ronaldo...
      • Rio Ferdinand's return for Manchester United delay...
      • Walcott Kwenda Man City?
      • Unamfahamu Antonio Valencia? Huyu Hapa
      • Steven Gerrard - Can Liverpool teach an old dog ne...
      • Picking the Premier League Team of the Weekend
      • Seven Manchester United players who could leave be...
      • Post From A Chelsea Fan - Believe Me, Wayne Rooney...
      • Why Andy Carroll must stay at Liverpool
      • Hivi Umesikia Shinji Kagawa Amesema Nini Kuhusu Si...
      • Barclays English Premier League: Hivi Ndivyo Ilivy...
      • Je, Ulimfahamu Meles Zenawi.? Mjue Hapa Kidogo
      • Ulisikia Habari za Muuaji Wa Watu 77.? Huyu Hapa..!!
      • Where has it all gone wrong for Nani at Manchester...
      • Barclays Premier League: Who Will Continue Losing ...
      • Habari Zaidi Kuhusu Chelsea Hizi Hapa
      • Picha 13 za Mechi Ya Barcelona Dhidi Ya Madrid Hiz...
      • 10 Arsenal players who could leave before the tran...
      • Eden Hazard - 'Unselfish and pure class'
      • Manchester United - One more signing?
      • Seven players who could leave Chelsea before the t...
      • Sergio Ampa Ahueni Roberto Mancini
      • KISS: Lady Gaga is only new rock star
      • Mechi za Weekend 25 na 26 Agosti za English Premie...
      • Chelsea 4, Reading 2
      • Emmanuel Adebayor completes permanent move to Tott...
      • Chelsea latest: Including Bertrand and Schurrle
      • Manchester United can take positives after Everton...
      • Chelsea's Roberto Di Matteo spoilt for choice as h...
      • Five reasons for Arsenal fans to be confident not ...
      • Ferguson, Manchester United, and the Phantom Manager
      • Nani Huenda Akatoswa Man United
      • Yanga Waenda Rwanda
      • Dr. Dalali Kafumu Anyang'anywa Ubunge
      • Danny Welbeck takes Sir Alex Ferguson's advice as ...
      • Man United Wapoteza Kete Ya Kwanza..!!
      • Kaka Kwenda Man United Kwa Mkopo
      • Manchester United latest: Including Kaka and Buttner
      • Breezy, tuneful 'Sparkle' | Reuters | Movies | San...
      • Man City Nao Wawachapa Southampton 3-2
      • Ferguson weighs up van Persie debut - Hindustan Times
      • Chelsea Vs Wigan Athletic: Hivi Ndivyo Ilivyokuwa
      • Hili Ndilo Kombe la BankABC Super8 Walilotwaa Simb...
      • Simba Watafanya Nini Leo?
      • Ona Jinsi Marefa Wanavyopata Shida Uwanjani..!!
      • Can Lukas Podolski outshine Robin Van Persie?
      • Chelsea Latest: Includes Torres and Hutchinson
      • Manchester United Fans May Have Cause To Worry Abo...
      • Why Shinji Kagawa will be Manchester United’s diff...
      • Ni Sawa Tu Kwa Arsenal Kumaliza Mashindano Bila Ub...
      • Alex Song Could Follow Van Persie's Steps Out Of A...
      • Wenger Asema, Walilazimika Kumuuza RVP
      • Hivi unajua MwanaSpoti Liliandika Nini Kumuhusu Mb...
      • Manchester United latest: Including Van Persie and...
      • If You Missed England Vs Italy Game. Here Are Pict...
      • Jermain Defoe an option for Sunderland - SAFC news...
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile