RihannaAlimanusura

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Thursday, 16 August 2012

Hivi unajua MwanaSpoti Liliandika Nini Kumuhusu Mbuyu Twite?

Posted on 05:28 by Unknown
Yanga Yarudisha Tano bila Simba

Nukuu Toka Gazeti la MwanaSpoti:-

SIMBA imefanya makosa matano na Yanga ikayatumia kikamilifu kumwondoa beki mzaliwa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mbuyu Twite kutoka Msimbazi na kumvalisha jezi ya Mtaa wa Jangwani.

Twite alisaini mkataba na Simba mapema mwezi huu mbele ya Mwenyekiti wa klabu hiyo, Ismail Aden Rage, jijini Kigali, Rwanda na jezi yake namba 4 kutambulishwa katika tamasha la Simba Day ndani ya Uwanja wa Taifa, Agosti 8 ingawa mchezaji husika hakuwapo uwanjani hapo.

Baada ya Simba kutangaza kumnasa beki huyo, Yanga kupitia kwa mmoja wa viongozi wa Kamati ya Usajili, Abdallah Bin Kleb, aliiambia Mwanaspoti kwamba lazima ajibu mapigo kwani Simba imemdhalilisha kwa kusema imemgaraza kwenye sakata la kumnasa Twite katika filamu inayoitwa 'Eights Hours In Kigali'.

Kulipa kisasi huko kulitimia baada ya Ijumaa iliyopita, Yanga kutangaza kumsainisha beki huyo kwa kutumia vigezo vitano, idadi ambayo ni sawa na ushindi wa mabao 5-0 ambao Simba iliupata dhidi ya Yanga katika pambano la mwisho la Ligi Kuu Bara msimu uliopita.

Mbaya zaidi ni kuwa Twite aliwatuma viongozi wa APR ya Rwanda na Lupopo ya Congo kurudisha Dola 30,000 (Sh 45 milioni) alizochukua Simba kama utangulizi.

Yanga imetumia upungufu wa maeneo matano makubwa kuizidi kete Simba kwenye usajili wa mchezaji huyo kama ifuatavyo;

Mosi; Kushitukia dili la mkopo. Bin Kleb anadaiwa kumsainisha Mbuyu Twite, Julai 31 kwa makubaliano ya kumpa fedha taslimu Dola 30,000, Siku iliyofuata, Simba ikatua Kigali kumsainisha beki huyo kwa dau la Dola 50,000, lakini wakampa taslimu Dola 30,000.

Baada ya kuelewana na mchezaji hawakwenda kwa APR kujua kama mchezaji huyo alikuwa kwa Wanyarwanda hao kwa mkopo, badala yake Rage akapanda ndege akarudi Dar es Salaam.

Yanga ikabonyezwa na mmoja wa viongozi wa APR na kukimbilia FC Lupopo ya Congo kumalizana nao na kukabidhiwa mchezaji huku ITC yake ikitokea Congo badala ya Rwanda ambako Simba ilishaanza kuiomba.

Pili; Yanga iliongeza dau.

Yanga ilielewana na mchezaji huyo kwa kumpa Dola 30,000 na mshahara wa Dola 2,500 lakini baada ya Simba kuingilia ikabidi waongeze dau hadi kufikia Dola 50,000 (Sh 75 milioni) na wakamkabidhi fedha hizo Twite pale pale huku mshahara ukibaki uleule kama wa Simba.

Tatu; Kukosea jina na sehemu aliyosaini mkataba Simba.

Katika mkataba wa Simba uliochapishwa ukurasa wa tano wa Mwanaspoti leo Jumanne, jina lililotumika kwenye mkataba huo ni Mbuyi Twite wakati mchezaji husika anasisitiza kuwa anaitwa Mbuyu Twite.

Simba ilimsainisha mchezaji huyo jijini Kigali Rwanda lakini kwenye mkataba huo ukurasa wake wa saba imeandikwa kwamba imemsainisha jijini Dar es Salaam, Agosti Mosi.

Nne; Kumwacha Kigali. Rage alifanya kosa kubwa kumsainisha na kumwacha mchezaji huyo jijini Kigali ambako Bin Kleb huenda kila mara kwa biashara zake.

Bin Kleb aliposhtukia kwamba Rage ameondoka kurejea Dar es Salaam kuwahi mkutano wa wanachama pamoja na vikao vya Bunge, akamvaa Twite akiwa sambamba na viongozi wazito wa APR ambao walisaidia kumshawishi.

Tano; Sekeseke la Patrick Mafisango na kutimua wageni.

Yanga ilitua jijini Lubumbashi na kukaa na viongozi wa Lupopo pamoja na mchezaji huyo akiwa sambamba na kaka yake Kabange Twite na kuwalisha sumu kuhusiana na upungufu wa Simba katika utendaji wake.

Habari za uhakika ambazo Mwanaspoti inazo, ni kwamba ujumbe wa Yanga uliwaambia Wakongo hao kwamba Simba haikumhudumia vizuri marehemu, Patrick Mafisango licha ya mchango wake aliokuwa nao ndani ya Wekundu hao na kwamba mpaka sasa hata rambirambi hawajatoa.

Jambo ambalo liliwaingia Wakongo hao pamoja na mchezaji husika ambaye yuko karibu sana na dini, hivyo akabadilisha uamuzi. Baada ya pointi hizo tano za nguvu Yanga, haikuishia hapo, ikaendelea kumwaga sumu.

Kuachwa kiholela kwa wageni;
Yanga iliendeleza sumu baada ya kuiambia hata familia ya mchezaji huyo kwamba Simba haina uongozi thabiti na wachezaji wa kigeni huachwa bila kufuata taratibu wakitolea mfano wa Wakongomani Lino Masombo, Kanu Mbiyavanga na Waganda Derick Walulya na Joseph Owino.

Hawakuishia hapo wakaeleza madai ya Kelvin Yondani kwamba viongozi wa Simba wamefoji mkataba wake.

Hadhi ya Yanga;
Umaarufu wa Yanga kwa sasa baada ya kutwaa Kombe la Kagame wiki chache zilizopita pamoja na kupata uongozi mpya ni kati ya sababu pia zilizomlainisha Mbuyu.


Source: MwanaSpoti
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Pictures of the Chinese baby Who fell into sewage pipe accidentally
    Being rescued Being fed Taken care of
  • Didier Drogba and His Colleague Anelka Aren't Paid..!!
    Shenhua Shanghai, the Chinese Super League club that made the game-changing move to sign ex-Chelsea stars Nicolas Anelka and Didier Drogba...
  • Sir Alex's All-Time Best Quotes
    Here are some of his most memorable quotes: On his mission after being appointed to the post: "My greatest challenge is not what's ...
  • Deabte: Who is Chelsea's Best Footballer Up to Now?
    Let people know your views on the best footballer in Chelsea right now.
  • Will Robeerto Mancini Last Long?
    According to HITC SPORT   What does a potential Champions League exit mean for Roberto Mancini and Manchester City? Despite a positive start...
  • Gareth Bale Pulls Out of Tottenham's Preseason Monaco Trip | Bleacher Report
    Gareth Bale Pulls Out of Tottenham's Preseason Monaco Trip | Bleacher Report
  • U.S. election — It’s all over but for the rage. Via TheStar.com
    By Mitch Potter   Washington Bureau                      Barack Obama and Mitt Romney Thestar.com reported:- It’s all over but the c...
  • Hii Ndiyo Kauli Waliyoitoa Everton kwa Manchester United kwa Kuwataka Baines na Fellaini
    A Club statement confirms bids for two players rejected. Source:   http://www.evertonfc.com/news/archive/2013/08/19/cl... Everton can confir...
  • Do You Know Who Said, "Joe Hart is World's Best Goalkeeper"?
    Joe Hart has been hailed as the world's best goalkeeper by Wayne Rooney after a stunning performance kept Manchester City's Champ...
  • BBC apologises to queen over Abu Hamza story. Via @ Capital FM-Kenya
    LONDON, Sep 25 – The BBC apologised to Britain’s Queen Elizabeth II on Tuesday after revealing that she raised concerns with a previous go...

Blog Archive

  • ►  2013 (192)
    • ►  August (53)
    • ►  July (29)
    • ►  June (40)
    • ►  May (10)
    • ►  April (9)
    • ►  March (28)
    • ►  February (6)
    • ►  January (17)
  • ▼  2012 (308)
    • ►  December (47)
    • ►  November (18)
    • ►  October (48)
    • ►  September (125)
    • ▼  August (70)
      • Berbatov Aenda Fulham
      • "Hatutamwongezea Mshahara Walcott," Asema Wenger
      • Bangi Yakamatwa Namanga Ikitokea TZ..!!
      • Baware/Chukua Tahadhari: OnLine Theft-Wizi Wa Kwen...
      • Umeshaona Anavyokabwa Messi Uwanjani? Angalia Hapa
      • Ronaldo Na Mourinho, Nani Muhimu Sana Kwa Madrid?
      • Jinsi Ilivyokuwa Kati Ya Madrid Na Barcelona Kweny...
      • Torres Anauhakika Wa Kuziba Pengo La Drogba Chelsea
      • Shanghai Shenhua Huenda Wakampoteza Drogba
      • Shanghai Shenhua may lose Didier Drogba following ...
      • Champions League Itakuwa Hivi..!!
      • Player of the day: Theo Walcott - Arsenal News fro...
      • Huyu Hapa Ni Usain Bolt
      • Didier Drogba returns to Chelsea?
      • Msimu wa Ligi Hispania: Nani zaidi Kati Ya Ronaldo...
      • Rio Ferdinand's return for Manchester United delay...
      • Walcott Kwenda Man City?
      • Unamfahamu Antonio Valencia? Huyu Hapa
      • Steven Gerrard - Can Liverpool teach an old dog ne...
      • Picking the Premier League Team of the Weekend
      • Seven Manchester United players who could leave be...
      • Post From A Chelsea Fan - Believe Me, Wayne Rooney...
      • Why Andy Carroll must stay at Liverpool
      • Hivi Umesikia Shinji Kagawa Amesema Nini Kuhusu Si...
      • Barclays English Premier League: Hivi Ndivyo Ilivy...
      • Je, Ulimfahamu Meles Zenawi.? Mjue Hapa Kidogo
      • Ulisikia Habari za Muuaji Wa Watu 77.? Huyu Hapa..!!
      • Where has it all gone wrong for Nani at Manchester...
      • Barclays Premier League: Who Will Continue Losing ...
      • Habari Zaidi Kuhusu Chelsea Hizi Hapa
      • Picha 13 za Mechi Ya Barcelona Dhidi Ya Madrid Hiz...
      • 10 Arsenal players who could leave before the tran...
      • Eden Hazard - 'Unselfish and pure class'
      • Manchester United - One more signing?
      • Seven players who could leave Chelsea before the t...
      • Sergio Ampa Ahueni Roberto Mancini
      • KISS: Lady Gaga is only new rock star
      • Mechi za Weekend 25 na 26 Agosti za English Premie...
      • Chelsea 4, Reading 2
      • Emmanuel Adebayor completes permanent move to Tott...
      • Chelsea latest: Including Bertrand and Schurrle
      • Manchester United can take positives after Everton...
      • Chelsea's Roberto Di Matteo spoilt for choice as h...
      • Five reasons for Arsenal fans to be confident not ...
      • Ferguson, Manchester United, and the Phantom Manager
      • Nani Huenda Akatoswa Man United
      • Yanga Waenda Rwanda
      • Dr. Dalali Kafumu Anyang'anywa Ubunge
      • Danny Welbeck takes Sir Alex Ferguson's advice as ...
      • Man United Wapoteza Kete Ya Kwanza..!!
      • Kaka Kwenda Man United Kwa Mkopo
      • Manchester United latest: Including Kaka and Buttner
      • Breezy, tuneful 'Sparkle' | Reuters | Movies | San...
      • Man City Nao Wawachapa Southampton 3-2
      • Ferguson weighs up van Persie debut - Hindustan Times
      • Chelsea Vs Wigan Athletic: Hivi Ndivyo Ilivyokuwa
      • Hili Ndilo Kombe la BankABC Super8 Walilotwaa Simb...
      • Simba Watafanya Nini Leo?
      • Ona Jinsi Marefa Wanavyopata Shida Uwanjani..!!
      • Can Lukas Podolski outshine Robin Van Persie?
      • Chelsea Latest: Includes Torres and Hutchinson
      • Manchester United Fans May Have Cause To Worry Abo...
      • Why Shinji Kagawa will be Manchester United’s diff...
      • Ni Sawa Tu Kwa Arsenal Kumaliza Mashindano Bila Ub...
      • Alex Song Could Follow Van Persie's Steps Out Of A...
      • Wenger Asema, Walilazimika Kumuuza RVP
      • Hivi unajua MwanaSpoti Liliandika Nini Kumuhusu Mb...
      • Manchester United latest: Including Van Persie and...
      • If You Missed England Vs Italy Game. Here Are Pict...
      • Jermain Defoe an option for Sunderland - SAFC news...
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile