RihannaAlimanusura

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Sunday, 26 August 2012

Barclays English Premier League: Hivi Ndivyo Ilivyokuwa

Posted on 23:56 by Unknown
Manchester City Dhidi Ya Liverpool
Hii ilikuwa ni Man City dhidi ya Liverpool. Ilikuwa ni moja ya mechi nzuri na kali sana tangu kuanza kwa English Premier League. 

Liverpool walionekana kujipanga vizuri zaidi na kuwapa shida sana walinzi pamoja na viungo wa Man City. 

Kama siyo makosa ya walinzi wa Liverpool ambao kwa namna moja au nyingine tunaweza kusema ndiyo waliochangia Man City kusawazisha magoli basi stori leo zingekuwa nyingine kabisa. 

Magoli ya Man City yalifungwa na Yahya Toure na Carlos Tevez na yale ya Liverpool yalifungwa na Martin Skrtel pamoja na Suarez

 Juu: Tevez alimpiga chenga kipa wa 
Liverpool na kusawazisha goli la pili 
kwa Man City baada ya mlinzi wa 
Liverpool Martin Skrtel kufanya 
makosa ya kurudisha mpira kwa 
goli kipa bila kuangalia kama kuna adui ama la.

 Juu: Hapa Tevez akishangilia baada ya 
kufunga goli la pili kwa timu yake




Juu:  Man City wakipongezana baada  
ya kusawazisha goli la kwanza
 kupitia Yahya Toure.

 Juu: Huyu ni kijana mdogo sana
 Raheem Sterling, Winga wa kushoto, 
mwenye umri wa miaka 17 tu. 
Alionesha kipaji cha hali ya juu na 
kusumbua sana walinzi wa Man City.





Arsenal Dhidi Ya Stoke City
Arsenal walishindwa kwa mara ya pili mfululizo kuwaridhishwa mashabi wao baada ya kutoka sare tena kwenye mchezo wao huo wa jana. 

 Hawa ni mashabiki wa Stoke City
 wakiwa na Mask za Arsene Wenger
 kocha wa Arsenal

 Hapa kulikuwa na mpambano 
mkali sana kati ya Peter Crouch 
wa Stoke na walinzi wa Arsenal



Manchester United Dhidi ya Fulham 
 Man United walinda magoli 3-2 dhidi ya Fulham. Ikumbukwe kuwa mechi yao ya kwanza walifungwa na Everton 1-0.

 Huyu hapa juu ni Usain Bolt, 
mfukuza upepo maarufu sana, 
raia wa Jamaica ambaye ametokea 
kuwa mshabiki mkubwa wa 
Manchester United. Hapa alikuwa katikati ya
 uwanja kabla ya kuanza kwa mechi
 ya Man United dhidi ya Fulham.

 Wayne Rooney akipelekwa nje baada 
ya kujeruhiwa vibaya sana kwenye paja lake. 
Inasemekana atakaa nje  ya dimba kwa 
wiki nne mfululizo akiuguza jeraha.

 Usain Bolt na ushabika wake kwa Man United.

 Wayne Rooney akichati na Welbeck kabla hawajaingia uwanjani 


 Robin Van Persie akifunga goli la kusawazisha 
kwa Man United kwa ufundi wa hali ya 
juu kama ilivyo kawaida yake. 
Na hili ndilo goli lake la kwanza tangu 
ajiunge na Man United.

 Shinji Kagawa akishangilia baada ya
 kufunga goli la pili kwa Man United

 Rafael Da Silva akishangilia baada ya 
kufunga goli la tatu kwa Man United

 Juu na chini, hapa ndiyo wakati 
Wayne Rooney anaumia

Chelsea Dhidi Ya Newcastle
Chelsea waliwafunga Newcastle magoli 2-0

 Juu: Eden Hazard


 Torres akishangilia goli






Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Pictures of the Chinese baby Who fell into sewage pipe accidentally
    Being rescued Being fed Taken care of
  • Didier Drogba and His Colleague Anelka Aren't Paid..!!
    Shenhua Shanghai, the Chinese Super League club that made the game-changing move to sign ex-Chelsea stars Nicolas Anelka and Didier Drogba...
  • Sir Alex's All-Time Best Quotes
    Here are some of his most memorable quotes: On his mission after being appointed to the post: "My greatest challenge is not what's ...
  • Deabte: Who is Chelsea's Best Footballer Up to Now?
    Let people know your views on the best footballer in Chelsea right now.
  • Will Robeerto Mancini Last Long?
    According to HITC SPORT   What does a potential Champions League exit mean for Roberto Mancini and Manchester City? Despite a positive start...
  • Gareth Bale Pulls Out of Tottenham's Preseason Monaco Trip | Bleacher Report
    Gareth Bale Pulls Out of Tottenham's Preseason Monaco Trip | Bleacher Report
  • U.S. election — It’s all over but for the rage. Via TheStar.com
    By Mitch Potter   Washington Bureau                      Barack Obama and Mitt Romney Thestar.com reported:- It’s all over but the c...
  • Hii Ndiyo Kauli Waliyoitoa Everton kwa Manchester United kwa Kuwataka Baines na Fellaini
    A Club statement confirms bids for two players rejected. Source:   http://www.evertonfc.com/news/archive/2013/08/19/cl... Everton can confir...
  • Do You Know Who Said, "Joe Hart is World's Best Goalkeeper"?
    Joe Hart has been hailed as the world's best goalkeeper by Wayne Rooney after a stunning performance kept Manchester City's Champ...
  • BBC apologises to queen over Abu Hamza story. Via @ Capital FM-Kenya
    LONDON, Sep 25 – The BBC apologised to Britain’s Queen Elizabeth II on Tuesday after revealing that she raised concerns with a previous go...

Blog Archive

  • ►  2013 (192)
    • ►  August (53)
    • ►  July (29)
    • ►  June (40)
    • ►  May (10)
    • ►  April (9)
    • ►  March (28)
    • ►  February (6)
    • ►  January (17)
  • ▼  2012 (308)
    • ►  December (47)
    • ►  November (18)
    • ►  October (48)
    • ►  September (125)
    • ▼  August (70)
      • Berbatov Aenda Fulham
      • "Hatutamwongezea Mshahara Walcott," Asema Wenger
      • Bangi Yakamatwa Namanga Ikitokea TZ..!!
      • Baware/Chukua Tahadhari: OnLine Theft-Wizi Wa Kwen...
      • Umeshaona Anavyokabwa Messi Uwanjani? Angalia Hapa
      • Ronaldo Na Mourinho, Nani Muhimu Sana Kwa Madrid?
      • Jinsi Ilivyokuwa Kati Ya Madrid Na Barcelona Kweny...
      • Torres Anauhakika Wa Kuziba Pengo La Drogba Chelsea
      • Shanghai Shenhua Huenda Wakampoteza Drogba
      • Shanghai Shenhua may lose Didier Drogba following ...
      • Champions League Itakuwa Hivi..!!
      • Player of the day: Theo Walcott - Arsenal News fro...
      • Huyu Hapa Ni Usain Bolt
      • Didier Drogba returns to Chelsea?
      • Msimu wa Ligi Hispania: Nani zaidi Kati Ya Ronaldo...
      • Rio Ferdinand's return for Manchester United delay...
      • Walcott Kwenda Man City?
      • Unamfahamu Antonio Valencia? Huyu Hapa
      • Steven Gerrard - Can Liverpool teach an old dog ne...
      • Picking the Premier League Team of the Weekend
      • Seven Manchester United players who could leave be...
      • Post From A Chelsea Fan - Believe Me, Wayne Rooney...
      • Why Andy Carroll must stay at Liverpool
      • Hivi Umesikia Shinji Kagawa Amesema Nini Kuhusu Si...
      • Barclays English Premier League: Hivi Ndivyo Ilivy...
      • Je, Ulimfahamu Meles Zenawi.? Mjue Hapa Kidogo
      • Ulisikia Habari za Muuaji Wa Watu 77.? Huyu Hapa..!!
      • Where has it all gone wrong for Nani at Manchester...
      • Barclays Premier League: Who Will Continue Losing ...
      • Habari Zaidi Kuhusu Chelsea Hizi Hapa
      • Picha 13 za Mechi Ya Barcelona Dhidi Ya Madrid Hiz...
      • 10 Arsenal players who could leave before the tran...
      • Eden Hazard - 'Unselfish and pure class'
      • Manchester United - One more signing?
      • Seven players who could leave Chelsea before the t...
      • Sergio Ampa Ahueni Roberto Mancini
      • KISS: Lady Gaga is only new rock star
      • Mechi za Weekend 25 na 26 Agosti za English Premie...
      • Chelsea 4, Reading 2
      • Emmanuel Adebayor completes permanent move to Tott...
      • Chelsea latest: Including Bertrand and Schurrle
      • Manchester United can take positives after Everton...
      • Chelsea's Roberto Di Matteo spoilt for choice as h...
      • Five reasons for Arsenal fans to be confident not ...
      • Ferguson, Manchester United, and the Phantom Manager
      • Nani Huenda Akatoswa Man United
      • Yanga Waenda Rwanda
      • Dr. Dalali Kafumu Anyang'anywa Ubunge
      • Danny Welbeck takes Sir Alex Ferguson's advice as ...
      • Man United Wapoteza Kete Ya Kwanza..!!
      • Kaka Kwenda Man United Kwa Mkopo
      • Manchester United latest: Including Kaka and Buttner
      • Breezy, tuneful 'Sparkle' | Reuters | Movies | San...
      • Man City Nao Wawachapa Southampton 3-2
      • Ferguson weighs up van Persie debut - Hindustan Times
      • Chelsea Vs Wigan Athletic: Hivi Ndivyo Ilivyokuwa
      • Hili Ndilo Kombe la BankABC Super8 Walilotwaa Simb...
      • Simba Watafanya Nini Leo?
      • Ona Jinsi Marefa Wanavyopata Shida Uwanjani..!!
      • Can Lukas Podolski outshine Robin Van Persie?
      • Chelsea Latest: Includes Torres and Hutchinson
      • Manchester United Fans May Have Cause To Worry Abo...
      • Why Shinji Kagawa will be Manchester United’s diff...
      • Ni Sawa Tu Kwa Arsenal Kumaliza Mashindano Bila Ub...
      • Alex Song Could Follow Van Persie's Steps Out Of A...
      • Wenger Asema, Walilazimika Kumuuza RVP
      • Hivi unajua MwanaSpoti Liliandika Nini Kumuhusu Mb...
      • Manchester United latest: Including Van Persie and...
      • If You Missed England Vs Italy Game. Here Are Pict...
      • Jermain Defoe an option for Sunderland - SAFC news...
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile