Baada Ya Kuonesha Kiwango Cha Chini
Gazeti moja huko ulaya limedai kwamba kutokana na kiwango cha chini alichokionesha wakati wa mechi ya Man United dhidi ya Everton, Luis Nani, winga machachari wa Mashetani hao wekundu huenda asipewe tena nafasi ya kutia saini kuichezea timu hiyo au akaruhusiwa kuondoka ama kuuzwa kwa bei ndogo sana.
Luis Nani
Mchezaji huyo hakuwa na yale machachari yake wakati timu yake ilipofungwa goli 1-0 kwenye mchezo wao wa kwanza wa English Premier League.
Nani bado ana miaka miwili kukipiga ndani ya Man United.
0 comments:
Post a Comment