RihannaAlimanusura

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Thursday, 6 September 2012

James Mbatia Na Wilbrod Slaa Wanasema Nini Leo?

Posted on 22:46 by Unknown
 Huyu Hapa Ni Bwana James Mbatia.
James Mbatia, mwenyekiti wa NCCR-MAGEUZI na mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia nchini amesema hali ya kisiasa hapa nchini ipo katika hali ya sintofahamu na kama ikiachwa indelee basi taifa litadumbukia katika machafuko.

"Tulikubaliana kimsingi kwamba nchi yetu sasa imefika kwenye hali ambayo ni tete inayosababishwa na sintofahamu kati ya vyama vya siasa ambao ndio sisi ambao ndiyo wadau wakuu pamoja na jeshi la polisi ambalo linaiwakilisha serikali na mauaji yaliyokuwa yakisikika mara kwa mara kuanzia Arusha, yametokea Mwanza, yametokea Mbeya, yametokea Singida, yametokea Morogoro, yameetokea Ruvuma, na tarehe 2 mwandishi wa habari David Mwangosi aliuawa kule Iringa. Kwanza tunasikitishwa sana kwa vitendo hivyo." Alisema Bwana Mbatia na kuendelea:

"Jambo la kwanza tumekubaliana tuwe na meza ya mazungumzo ili tuweze kutafakali juu ya jambo hili kati ya serikali na vyama vya siasa; kwa upande wa serikali uongozwe na waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania muheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda, na sisi wanasiasa upande mwingine pia anaweza akawa na ofisi ya msajili wa vyama, akaja na msajili wa vyama vya siasa, akaja na mawaziri wanaohusika na mambo ya namna hii. sisi tumefikisha wito kwenye ofisi ya waziri mkuu na anao mezani kwake, tumesema ni jambo la dharura ili tuzungumze tuone namna gani ya kuondoa haya mauaji yanayoendelea lisije taifa letu likaenda ambako siko ambako siyo utamaduni wa watanzania. La pili tumekubaliana tuwe na maadili ya uendeshaji wa shughuli kati ya serikali na vyama vya siasa. Kwa upande wa srikali, jeshi la polisi litakuwa ni miongoni mwao ili tuone ni namna gani vyama vya siasa vinaweza vikafanya kazi zake bila ya kumwaga damu ya mwanadamu yeyote." Alisema Bwana Mbatia na kuongeza:

"Ningewaomba wadau wote, akiwepo msajili wa vyama vya siasa, wakiwepo vyama vingine vya siasa, mashirika na taasis mbalimbali, yakipo mashirika  ya dini, kwa kuwa tupo kwenye hali tete ya namna hii inabidi sote tuwe na utulivu ili meza ya mazungumzo ifanye kazi yake tuondoke hapa tulipo sasa hivi badala ya kutoa tu matamko ambayo yanazidi kuchochea moto, moto wenyewe unazidi kumwagiwa petroli, moto unazidi kuwaka zaidi ambapo nchi yetu ikiangamia, tutaangamia sisi sote."

Bwana Mbatia alisema kuwa vyama vilivyohusika ni vile vyenye uwakilishi bungeni CCM, CHADEMA, TLP, UDP, CUF, NSSR-MAGEUZI, na SAUTI YA UMMA waliwakilisha vyama vingine ambavyo havina uwakilishi bungeni. 

Huyu Hapa Ni Dr. Wlbrod Slaa
Yeye alisema msajili wa vyama vya siasa nchini hawezi kufuta chama cha siasa bali ni sheria ndiyo yenye mamlaka hayo na siyo kwa uutashi wake. Na kama angekuwa na ubavu wa kufanya hivyo basi angeanza kufuta chama cha MAPINDUZI.

"Hatuna la kupokea kwa sababu kauli za Tendwa tumezizoea kama alivyosema Arumeru alitumwambia Godbless Lema asikanyage na alinipigia simu yeye mwenyewe kwamba nimshauri Godbless Lema asiende. Lakini mimi nilikuwa Arumeru wakati huo, wala hakuna mtu aliyetishia, sasa inapofika kiongozi wa juu wa taifa anapotosha taifa, hatari tuliyonayo katika nchi , hatutegemei msamimamizi namlezi wa vyama anatoa kauli ambazo hazina ukweli, hazina uhakika, kauli ambazo zinaleta vitisho badala ya kuwa mlezi. Na kwa kweli tumefikia katika siasa ya nchi kwa sura hii kwa sababu ya watu kama akina Tendwa."

"Tendwa hana mamlaka ya kufuta chama kwa sababu kinachofuta chama ni sheria na siyo matakwa ya msajili na mazingira yanayoweza kufanya chama chochote yako ndani ya sheria siyo anapoamka msajili anatamka kwamba atafuta. Kama alikuwa na mamlaka angeanza kukifuta kwanza chama cha Mapinduzi ambacho picha zote zinaonesha kwamba askari wake ndiyo walikuwa wanahusika na mauaji na maaskari wa serikali ya CCM. Kwa hiyo CCM ilipaswa kufutwa kama alikua anamaanisha alichokuwa anasema, vinginevyo sisi tunaona ni propaganda ya kawaida, anacheza vuvuzela kama alivyozoea kucheza katika mazingira ambayo yanahitaji serikali ilinde, ushabiki uwepo, sikuona kama ni kauli inayosumbua hata kidogo kwa sababu tunajua hana mamlaka yoyote ya kufanya hivyo. Sheria inasema ili chama cha siasa kifutwe kwanza lazima kiandikiwe chama hicho ili kize kueleza nini ambayo ni sababu na chama kijibu, sasa kabla ya kufanya hivyo anaanza kutishia chama kilichoua, watu wanazungumza kwamba chama kinaua, anayeua ni mtu siyo chama, chama katika taratibu za sheria hakiui, chama ni taasisi lakini watu wake mmoja mmoja, hata siku moja haijatokea kwamba chama kikashtakiwa kwa sababu ya kufanya kitu fulani, viongozi wa chama ndiyo wanaoweza kushtakiwa. Angezungumza kwamba atakamata wahusika mmoja mmoja ningemwelewa lakini kusema kwamba chama ndiyo atakifanyia basi ni dhahiri kwamba pale alitaka kucheza tu siasa na propaganda kama alivyozoea kufanya."

Source: Radio One Nipashe
Mambo ya siasa hayo. Sijui kama wewe ni mwanasiasa na unasemaje..!!
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Pictures of the Chinese baby Who fell into sewage pipe accidentally
    Being rescued Being fed Taken care of
  • Didier Drogba and His Colleague Anelka Aren't Paid..!!
    Shenhua Shanghai, the Chinese Super League club that made the game-changing move to sign ex-Chelsea stars Nicolas Anelka and Didier Drogba...
  • Sir Alex's All-Time Best Quotes
    Here are some of his most memorable quotes: On his mission after being appointed to the post: "My greatest challenge is not what's ...
  • Deabte: Who is Chelsea's Best Footballer Up to Now?
    Let people know your views on the best footballer in Chelsea right now.
  • Will Robeerto Mancini Last Long?
    According to HITC SPORT   What does a potential Champions League exit mean for Roberto Mancini and Manchester City? Despite a positive start...
  • Gareth Bale Pulls Out of Tottenham's Preseason Monaco Trip | Bleacher Report
    Gareth Bale Pulls Out of Tottenham's Preseason Monaco Trip | Bleacher Report
  • U.S. election — It’s all over but for the rage. Via TheStar.com
    By Mitch Potter   Washington Bureau                      Barack Obama and Mitt Romney Thestar.com reported:- It’s all over but the c...
  • Hii Ndiyo Kauli Waliyoitoa Everton kwa Manchester United kwa Kuwataka Baines na Fellaini
    A Club statement confirms bids for two players rejected. Source:   http://www.evertonfc.com/news/archive/2013/08/19/cl... Everton can confir...
  • Do You Know Who Said, "Joe Hart is World's Best Goalkeeper"?
    Joe Hart has been hailed as the world's best goalkeeper by Wayne Rooney after a stunning performance kept Manchester City's Champ...
  • BBC apologises to queen over Abu Hamza story. Via @ Capital FM-Kenya
    LONDON, Sep 25 – The BBC apologised to Britain’s Queen Elizabeth II on Tuesday after revealing that she raised concerns with a previous go...

Blog Archive

  • ►  2013 (192)
    • ►  August (53)
    • ►  July (29)
    • ►  June (40)
    • ►  May (10)
    • ►  April (9)
    • ►  March (28)
    • ►  February (6)
    • ►  January (17)
  • ▼  2012 (308)
    • ►  December (47)
    • ►  November (18)
    • ►  October (48)
    • ▼  September (125)
      • Liverpool Waliompa Kipigo Norwich Hawa Hapa
      • Picha 4 za Jinsi Man United Walivyokamatwa na Spur...
      • Spurs Yawachapa Kipigo Red Devils
      • Manchester United and Tottenham Hotspurs Clash His...
      • Eto'o Atangaza Kurudi Timu ya Taifa
      • Roberto Di Matteo na Mechi ya Leo Dhidi ya Arsenal
      • Arsenal Dhidi ya Chelsea Kesho
      • Why Cristiano Ronaldo Is the Tiger Woods of World ...
      • John Terry – Guilty and Not Guilty…What’s the diff...
      • Do You Know What Was Darren Fletcher's Dream?
      • John Terry is GUILTY in Racism Scandal
      • Wigan boss charged over post match comments agains...
      • Mourinho Could Manage Into His 70s: Originally Rep...
      • Rihanna with Her New Single "Diamonds"
      • 50 Cent Investigation
      • BBC apologises to queen over Abu Hamza story. Via ...
      • Man kills 5 children, commits suicide Via @Capital...
      • Manchester United: Rating the United Players in Li...
      • What Does Patrice Evra Say About Shaking Hands Wit...
      • This is Mark Harsely in Action During Manchester v...
      • Do You Know What Happened to Referee Harsely After...
      • Wanna Know Something About Kanye West? Just Click ...
      • The Former Heavyweight Champion Shot Dead
      • These are The Ones Who Scored For Manchester Unite...
      • Angalia Picha za Matukio ya Mechi za EPL Jumamosi ...
      • Manchester United vs Liverpool: The b/r Writes
      • This is How John Terry Retires
      • Do You Want to Know About Patrice Evra's Performan...
      • Do You Want to Know What's up With Rio Ferdinand a...
      • Did You Know That Mario Balotelli Smokes? Well, He...
      • New Zidane for Man United
      • Drogba na Maisha Yake Ya Uchina
      • Ruben Castro Naye Huyu Hapa
      • Huyu Hapa ni Jonas wa Valencia
      • Yaya Toure Anazungumziwaje.?
      • David De Gea Anazungumziwaje..?
      • Nani And His Penalty
      • Di Mateo Blames On Players For The Draw
      • Simba Imara, Simba Imara; Yanga ...... Yanga ......
      • Manchester United 1, Galatasaray 0; Chelsea 2, Juv...
      • Ona Jinsi Makocha Walivyo Uwanjani....
      • Huyu Ndiyo Waziri Mkuu Mpya wa Somalia Atakayeapis...
      • Wanafunzi Waombwa Kujikita Mbali na Ngono
      • Simba na Yanga Viwanjani Tena Leo Ligi ya Bara
      • Arsenal Nao Waliliza Mtu Jana Champions League
      • Hawa Ndiyo Real Madrid Waliowafunga Man City Champ...
      • David de Gea na Anders Lindegaard Kugawana Majukum...
      • Patrice Evra Kurudi Uwanjani Kwenye Champions Leag...
      • Champions League Fixtures
      • Champions League: Manchester City vs Real Madrid. ...
      • Manchester United Transfer News: Ronaldo, Fellaini...
      • These are Sevilla Men Who Beat Up Real Madrid
      • This is What The Independence Reports: "If Real Ma...
      • Tsvangirai And His Marriages
      • Matukio Katika Picha Mechi Za Jana Huko Uingereza
      • English Premier League, Yesterday's Results
      • ESPN WRITES; "All Eyes On Ronaldo in Seville"
      • LIGI YA TZ BARA KUANZA LEO
      • Here Are The Football Matches For Saturday and Sun...
      • Injuries In Manchester United, via Bleacher Report
      • "Arsenal Does not Need Didier Drogba", Says Wenger...
      • A tribute to Ryan Giggs - A man for all seasons
      • Lionel Messi Ataweza Kuvunja Rekodi Ya Marouane Ch...
      • Exclusive on www.millardayo.com Elinaja ft Barnaba...
      • This Is The Full Statement of US President On The ...
      • Kwa Ufupi Soma Maoni Ya Wamarekani Kwenye "The Tel...
      • Barack Obama Condemned The Killing Of US Ambassado...
      • Kenya PM backs new Somalia president via Capital F...
      • Kikwete recognises Kenya’s role in Somalia transit...
      • January is not too early for Manchester United to ...
      • What Raheem Sterling's England call-up proves
      • Arsenal - Is Coquelin right or the next Wright?
      • Fire In Pakistan As Reported By CNN
      • Hawa Ndiyo Majeruhi wa Old Trafford
      • Jones With A Knee Surgery
      • Shinji Kagawa Is Injured
      • This Is The New President Of Solmalia
      • As Written By The Bleacher Rport: 10 Reasons Fans ...
      • Wayne Rooney Asema, 'Lionel Messi Ni Zaidi Ya Cris...
      • Check Out This Email....
      • John Terry Nje Ya Kikosi Cha England Mechi Moja
      • US warns Asia-Pacific leaders
      • Asia-Pacific nations pledge growth, fret over econ...
      • Jessica Simpson Says, "My Body Isn't Bouncing Back...
      • Wayne Rooney Kumalizia Soka Lake Manchester United
      • 80 Died And Hundreds Wounded After China's Earthqu...
      • Kenyan Teachers' Strike As Reported By Capital FM
      • Obama Tells Americans: Give Me Another Chance!
      • Neymar? Damiao? What is going on at Manchester Uni...
      • As Reported By HITC About Steven Gerrard
      • James Mbatia Na Wilbrod Slaa Wanasema Nini Leo?
      • Wayne Rooney admits he has returned to training se...
      • Villas-Boas, Chelsea, and Falcao
      • Mourinho Akataa Kuongelea Suala La Ronaldo
      • Wayne Rooney Kuwa Midfielder.?
      • Afrika Ya Kusini Yaporomoka Nafasi 7 FIFA
      • Spain leads FIFA rankings as Europe takes top 4 pl...
      • CHADEMA Waikataa Tume Ya Uchunguzi
      • DNC 2012 - Day 2 Best Moments: Bill Clinton, Sandr...
      • What Does Bill Clinton Say About Mitt Romney's Pre...
    • ►  August (70)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile