Saturday, 8 September 2012
Wayne Rooney Kumalizia Soka Lake Manchester United
Posted on 08:34 by Unknown
Mchezaji wa Manchester United, Wayne Rooney ameweka wazi juu ya kazi yake anayoifanyia Old Traford akisisitiza kwamba ataendelea kucheza soka lake kwenye klabu yake muda wote atakaohitajika.
Rooney aliwahi kuzungumzia mkataba wake mwaka 2010 ambapo ilionekana kama anatishia kwenda kwa wapinzani wake Manchester City.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment