RihannaAlimanusura

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Saturday, 6 July 2013

Hawa Ndiyo Wachezaji wa Man United Waliopewa Kazi ya Ukocha Old Trafford

Posted on 07:58 by Unknown

Kulia: Phil Neville. Kushoto: Ryan Giggs.

Manchester United wamewatangaza maveterani winga Ryan Giggs kuwa kocha mchezaji na mlinza wa zamani wa timu hiyo Phil Neville kuwa kocha wakati meneja mpya wa timu hiyoDavid Moyes akijaribu kuweka muonekano mpya wa timu hiyo ambao ndiyo mabingwa wa English Premier League msimu uliopita wa 2012-2013. 

Giggs mwenye miaka 39 anasemekana kuwa mkongwe wa Old Trafford, amecheza mechi 900 kwa klabu yake ya Manchester United tangu mwaka 1991alipojiunga. 

Giggs aliyeshinda EPL na klabu yake hiyo mara 13 aliongeza mkataba wa mwaka mmoja wa kuichezea timu yake mwezi Machi 2012-2013 na sasa atakuwa kocha mchezaji hivyo kuingia moja kwa moja kwenye stafu ya makocha. 

Mara kwa mara Giggs alitajwa kama aliyetarajiwa kuwa meneja wa baadaye wa Man United, amekuwa akichukua mafunzo ya ukocha na sasa anatarajia kupata leseni ya UEFA. 

Baada ya kuteuliwa kama kocha Giggs alisema, "It's a great privilege to be appointed a player-coach. I hope I will be able to bring my experience to bear, having been both a player and part of the Manchester United family for so long. It's no secret that I have been taking my qualifications and I see this as the first step in my future career. I'm really looking forward to working alongside David and the team."

Naye David Moyes, meneja wa Man United alisema,  "I'm delighted that Ryan has accepted the chance to become player-coach. His success and ability to adapt his game over a number of years gives him an unrivalled perspective on the modern game.
"His career is an example to any aspiring young player and I'm sure that both he and the players will benefit from his new role."

Na haya ndiyo aliyoyanena Phil Neville, 
"When I retired from football, I knew that I wanted to continue in the game," he said.
"It's something that I have been preparing for over the last few years. So, when David called to give me this opportunity, I couldn't resist. I gave my all for Everton but it is no secret that this club is in my heart.
"I've really enjoyed working with David and his staff as a player and I think that, together with Ryan, we can make a real contribution to Manchester United."
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Pictures of the Chinese baby Who fell into sewage pipe accidentally
    Being rescued Being fed Taken care of
  • Didier Drogba and His Colleague Anelka Aren't Paid..!!
    Shenhua Shanghai, the Chinese Super League club that made the game-changing move to sign ex-Chelsea stars Nicolas Anelka and Didier Drogba...
  • Sir Alex's All-Time Best Quotes
    Here are some of his most memorable quotes: On his mission after being appointed to the post: "My greatest challenge is not what's ...
  • Deabte: Who is Chelsea's Best Footballer Up to Now?
    Let people know your views on the best footballer in Chelsea right now.
  • Will Robeerto Mancini Last Long?
    According to HITC SPORT   What does a potential Champions League exit mean for Roberto Mancini and Manchester City? Despite a positive start...
  • Gareth Bale Pulls Out of Tottenham's Preseason Monaco Trip | Bleacher Report
    Gareth Bale Pulls Out of Tottenham's Preseason Monaco Trip | Bleacher Report
  • U.S. election — It’s all over but for the rage. Via TheStar.com
    By Mitch Potter   Washington Bureau                      Barack Obama and Mitt Romney Thestar.com reported:- It’s all over but the c...
  • Hii Ndiyo Kauli Waliyoitoa Everton kwa Manchester United kwa Kuwataka Baines na Fellaini
    A Club statement confirms bids for two players rejected. Source:   http://www.evertonfc.com/news/archive/2013/08/19/cl... Everton can confir...
  • Do You Know Who Said, "Joe Hart is World's Best Goalkeeper"?
    Joe Hart has been hailed as the world's best goalkeeper by Wayne Rooney after a stunning performance kept Manchester City's Champ...
  • BBC apologises to queen over Abu Hamza story. Via @ Capital FM-Kenya
    LONDON, Sep 25 – The BBC apologised to Britain’s Queen Elizabeth II on Tuesday after revealing that she raised concerns with a previous go...

Blog Archive

  • ▼  2013 (192)
    • ►  August (53)
    • ▼  July (29)
      • Jose Mourinho relaxed over Chelsea interest in Way...
      • Gareth Bale May Be Set to Extend His Tottenham Con...
      • Liga: Martino: I Will Reject Any Offer for Fabregas
      • How Tottenham Hotspur can spend £50m and keep Gare...
      • Moyes hints there may be no Old Trafford signings ...
      • Ukitumiwa Barua na Huyu Dada Usije Ukabug man!
      • Rihanna Is SO Over Chris Brown! NO Regrets!
      • CHAN: Uganda v Tanzania preview
      • Fabregas ready to join United. Via SPEN.co.uk
      • Mjue Hussein Javu Striker Aliyetia Dolegumba Yanga...
      • Unajua Alichosema Ronadinho? Soma Hapa!
      • Messi: "Sihusiki na Kuajiriwa kwa Martino."
      • Cesc Fabregas Bado Kipenzi Cha David Moyes
      • Dear Reader, Huyu Ndiye Kocha Mpya wa Barcelona!
      • Soma Hii Habari, Itakueleza Nini Kinaendelea Kumuh...
      • Kuna Habari Nyingi Zinazomuhusu Wayne Rooney; Soma...
      • Hivi Nikisema Manchester United Hawamuhitaji Thiag...
      • Manchester United Waporwa Thiago na Bayern Munich ...
      • Guardiola Sasa Amtaka Thiago Alcantara!
      • Ndugu, Soma Hiki Kioja cha Soka Huko Nigeria!
      • Wayne Rooney Aanza Mzoezi Man United!
      • Follow Twitter Mpya ya Manchester United, Username...
      • Hawa Ndiyo Wachezaji wa Man United Waliopewa Kazi ...
      • Make more love, live longer - IOL Lifestyle | IOL....
      • When sex is cheap - IOL Lifestyle | IOL.co.za
      • Ifuatayo ni Biography ya 50 Cent
      • Unaweza Shuhudia Yanayotokea Misri kwa Njia ya Pic...
      • Haya Ndiyo Aliyoyasema Ronaldo Kuhusu Fununu za Ye...
      • News | K-Ci & JoJo Talk Classic Sound, Drake Payin...
    • ►  June (40)
    • ►  May (10)
    • ►  April (9)
    • ►  March (28)
    • ►  February (6)
    • ►  January (17)
  • ►  2012 (308)
    • ►  December (47)
    • ►  November (18)
    • ►  October (48)
    • ►  September (125)
    • ►  August (70)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile