RihannaAlimanusura

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Thursday, 27 June 2013

PICHA HIZI ZINADHIHIRISHA KUWA WANA AFRIKA YA KUSINI WAMEPOTEZA MATUMAINI JUU YA MZEE MANDELA

Posted on 04:35 by Unknown









Read More
Posted in | No comments

Hali Ya Nelson Mandela Yaleta Utata Mtupu

Posted on 04:11 by Unknown
Inaonekana watu wameanza kuonea huruma mpiganaji wao Nelson Mandela maarufu kama Madiba baada ya kuendelea kuugua mapafu kwa muda mrefu. Baadhi ya wananchi katika mitaa mbalimbali ya Afrika ya Kusini wameanza kusikika wakitamka maneno ya kuonesha kwamba wanamuaga Raisi Huyo wa kwanza mweusi na mpiganaji dhidi ya ubaguzi wa rangi nchini humo.


"Mandela ni mzee sana na kwa umri wake, maisha siyo mazuri. Namuomba Mungu amchukue sasa. Ni bora aende. Ni bora akapumzike" Alisikika Ida Mashego, mfanya usafi wa ofisini mwenye umri wa miaka kama 60 hivi huko Johannesburg.  

Mtu huyu ambaye ni Artist akichora picha ya 
mzee Mandela nje tu ya hospitali 
mjini Pretoria alimolazwa Raisi huyo wa 
Kwanza mweusi wa Afrika ya Kusini  


"Sitadanganya, hali siyo nzuri. Lakini kama nisemavyo, tukiongea naye, anajibu na kujaribu kufungua macho. Bado yupo. Anaweza akawa anaaga lakini bado yupo." Alisema binti yake mkubwa  mzee Mandela, Makaziwe, baada ya kumtembelea hospitalini hapo, akiongea na SABC Radio. 

Chanzo/source: TVnZ
Read More
Posted in | No comments

Monday, 24 June 2013

Haya Ndiyo Aliyoyasema Shinji Kagawa!

Posted on 23:39 by Unknown


"I am not happy with my performance for the team at all. I didn't score that much and I also had my (knee) injury. Despite that, it was great we won the league, but I just don't feel that I achieved everything that I wanted." 
Shinji Kagawa
"Sifurahii kiwango changu kwenye timu yangu kabisa. Sikufunga magoli mengi na pia niliumizwa goti langu. Walakini ilikkuwa ni vizuri tulishinda ligi, lakini sijisikii kwamba nilifanikisha kila kitu nilichohitaji." Alisema Kagawa. 
Source: b/r
Read More
Posted in | No comments

CHADEMA Wafunguka Tena. Safari hii ni Kuhusu Ugaidi....

Posted on 22:45 by Unknown
Source: chadematv

CHADEMA yabaini mbinu ya kuwabambikia kesi ya Kigaidi Dk Slaa, Mbowe Mnyika na Lissu
 
TUTAPIGANA VITA YA 
KISHERIA , TUKIONGOZWA NA JOPO LA MAWAKILI

Wamesema kama walivyoweza kuishinda serikali, CCM, na jeshi la polisi walipotaka kumbambikizia kesi ya ugaidi Rwakatale sasa serikali wanafikiri wanaweza kupenya mlango wa nyuma kwa kutumia tukio la tindikali kupandikiza taswira ya ugaidi dhidi ya Chadema. Kwa hiyo uzito ule ule walioutoa kwenye kesi ya Rwakatale ndiyo watakaoutoa kwenye kesi hii.  

Wamesema kwamba katika hatua ya kwanza jopo la mawakili watatu walitrajiwa kusafiri kwenda Igunga na Tabora kwa ajili ya kesi, Jopo ambalo litaongozwa na Profesa Abdallah Safari, wakili Peter Kibatala na wakili kutoka Mwanza Gaspar Mwadyela.

For more updates, visit cadematv on youtube.
Read More
Posted in | No comments

Nelson Mandela in Critical Condition. As Written by The Telegraph

Posted on 01:57 by Unknown

Nelson Mandela 'critical' in South Africa hospital

Nelson Mandela’s condition described as critical for the first time, two weeks after he was admitted to hospital with a lung infection.


President Jacob Zuma visited Mr Mandela’s doctors and wife Graca Machel, and said that the former president’s health had deteriorated over the past 24 hours.
He said his doctors were still “doing everything possible” to try to improve his situation.
The announcement late on Sunday night was the first time the 94-year-old former president’s condition has been described so seriously since he was admitted to hospital on June 8 for a recurring lung infection.
His condition had previously been described as “serious but stable”. Comments last week from Mandela family members and his presidential successor, Thabo Mbeki, had suggested Mr Mandela’s health was improving.
However, the announcement of the downturn sparked deep concern among South Africans that the end could be drawing near for the country’s first black president, who led the country from apartheid to democracy 20 years ago.
“The doctors are doing everything possible to get his condition to improve and are ensuring that Madiba is well-looked after and is comfortable. He is in good hands,” Mr Zuma said in a statement, referring to Mr Mandela by his clan name.
He appealed for the nation and the rest of the world to pray for Mr Mandela, whose last public appearance was at the 2010 World Cup in South Africa.
Mr Mandela is understood to have become increasingly weak and unresponsive and his family have been told to prepare for the worst.
The 94-year-old’s wife, Graca Machel, has kept a constant vigil at her husband’s bedside, sleeping frequently in a nearby room at Pretoria’s Heart Hospital.
On Sunday, she was joined by other members of Mr Mandela’s large family including his former wife Winnie, his daughter Makaziwe and granddaughter Ndileka.
Outside the hospital, a bank of flowers, cards and balloons wishing the former president well have built up.
Addressing the country’s first black president as “Tata”, or “Father”, one read: “You are stronger than anything. I am what I am today because of you. From Karabo Chilwane and Magret Moila in Limpopo.”
Mr Zuma added in his statement that there was “no truth” in an earlier report that Mr Mandela, who is due to turn 95 in a matter of weeks, had suffered a heart attack when he was first admitted to hospital in the early hours of Saturday June 8.
It emerged over the weekend that a military ambulance transporting the Nobel laureate broke down on the motorway between Johannesburg and Pretoria, leaving him and his sizeable medical team waiting 40 minutes for a replacement in the winter night.
Mr Zuma said that “all care” had been taken to ensure his medical condition was “not compromised”.
“There were seven doctors in the convoy who were in full control of the situation throughout the period. He had expert medical care. The fully equipped military Intensive Care Unit ambulance had a full complement of specialist medical staff including intensive care specialists and ICU nurses,” he said.
Mr Mandela is almost universally adored by South Africans of all ages and races for leading the country out of apartheid and bringing warring factions together ahead of the country’s first democratic elections in 1994.
On Sunday night the news of his deteriorating health was met with deep sadness coupled with a sense of resignation that has grown with each of Mr Mandela’s three hospital admissions this year.
“South Africa has a heavy heart tonight,” wrote one of his countrymen on Twitter.
“Going to sleep with a heavy heart. Feeling so emotional about Mandela. Didn’t expect to feel quite so broken,” another wrote.
Ranjeni Munusamy, a newspaper editor, added: “I finally know what to pray for: that he is not in pain and can feel our love. That’s all we can ask for now.”
Barack Obama, the US President, is due to arrive in South Africa with his family on Friday night for his first major visit to the continent since taking office.
The possibility of a meeting between the first black presidents of both South Africa and the United States has been eagerly awaited for years, but the White House said at the weekend that Mr Obama would defer to Nelson Mandela’s family on whether he would visit him.
“Ultimately, we want whatever is in the best interests of his health and the peace of mind of the Mandela family,” said Ben Rhodes, a deputy US national security advisor. “We will be in touch with them. If he has an opportunity to see the family in some capacity, that’s certainly something that we may do.”
Read More
Posted in | No comments

Thursday, 20 June 2013

Yalojiri Kwenye Mechi Kali ya Japan Dhidi ya Italy

Posted on 00:22 by Unknown

Italy 4-3 Japan: Giovinco settles all-time 

classic Confederations Cup encounter


An incredible clash at the Itaipava Arena Pernambuco saw Italy book their place in the Confederations Cup semi-finals with a 4-3 defeat of Japan, who were eliminated from the tournament in heartbreaking fashion. Needing a draw to stand a chance of making the last four, Alberto Zaccheroni's men got off to an incredible start, racing into a two-goal lead through Keisuke Honda's penalty and Shinji Kagawa's neat finish. But a spectacular 11-minute turnaround either side of half-time saw Italy score thrice to retake the lead, through Daniele De Rossi's header, Atsuto Uchida's own goal and Mario Balotelli's spot kick. Shinji Okazaki then drew Japan level with 21 minutes remaining, but despite a late rally by the Samurai Blue, they were finished for good with four minutes remaining by Sebastian Giovinco's strike, as Italy join Brazil as Group A's representatives in the last four. Cesare Prandelli made two changes to the side that beat Mexico 2-1 Sunday, with Christian Maggio and Alberto Aquilani coming in for Ignazio Abate and Claudio Marchisio, while Japan saw Ryoichi Maeda return to lead the line. And the Jubilo Iwata forward could have made an instant impact after only five minutes, but did not direct his header well from Kagawa’s inch-perfect cross, as Gianluigi Buffon saved comfortably.


 Zaccheroni’s men were the brighter side throughout the opening exchanges, and with 20 minutes on the clock, were handed the chance to take the lead when Buffon conceded a penalty after upending Okazaki inside the area. The keeper escaped with only a yellow card, but was powerless to stop Honda’slow strike to the bottom right corner from 12 yards, despite guessing correctly. Balotelli was then incredulous that he was denied a penalty of his own after tussling with Maya Yoshida, but in truth, it was an unlikely claim for an increasingly desperate Italy, who were struggling to match the intensity of Japan. And with just over half an hour gone, the Samurai Blue made their superiority count once again. Italy failed to clear a ball into the box, and Kagawawas quickly on it, planting a fine half-volley into the corner.


 In fact, Honda could have made it 3-0 moments later from a free-kick, but Buffon was on hand this time to make a smart double save to keep the deficit at two. Italy finally began to wake up as the half neared its end, and it was Andrea Pirlo, as ever, leading their revival, coming close with a wicked free-kick that whistled just over the top. But the Juventus midfielder was deadly accurate with his delivery from a corner in the 41st minute, picking out De Rossiat the near post and the Roma star thumped home with his head. 

Japan were stunned, and nearly capitulated at the end of the half when Emanuele Giaccherini’s bit of trickery saw him evade his marker but crash the ball off the frame of the goal. But their resistance lasted little more than five minutes after the restart, as Giaccherini’s pass across the face of goal to Balotelli was reached first by Uchida, who ended up turning the ball into his own net. And two minutes later, it got even more painful for Japan, when Makoto Hasebe conceded a penalty for an extremely harsh handball call, from which Balotelli, as ever, converted coolly from the spot to put Italy in front for the first time. Eiji Kawashima was then called into action twice in quick succession to deny Giovinco and De Rossi, and his efforts were rewarded at the other end in the 69th minute, when Okazakiheaded home from Yasuhito Endo’s free kick. But not for the first time, Japan were left cursing their luck when an almighty scramble inside the box saw Okazaki hit the post, before Kagawa's headed follow-up bounced off the floor and smacked off the crossbar. And in the 86th minute, just when Zaccheroni's men looked like stealing the winner, Italy put the game to bed when De Rossi released Marchisio, who in turn squared for Giovincoto stab high into the back of the net. Yoshida then had a goal disallowed for offside, and Buffon was forced to tip away from Honda as Japan fought or their lives, but time was no longer on their side as the final whistle signalled the end of their campaign.

Source: FanSided Sports
Read More
Posted in | No comments

Wednesday, 19 June 2013

Freeman Mbowe na Mwenzake Godbless Lema bado Wanasakwa na Jeshi la Polisi Jijini Arusha

Posted on 23:51 by Unknown
Jeshi la polisi nchini limesema bado linawasaka mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo "CHADEMA" Freeman Mbowe na Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kufuatia vurugu zilizotokea juzi na madai yao kuwa wanao ushahidi wa kutosha kuhusu polisi kuhusika na kurusha bomu katika mkutano wa Chadema.

Mkuu wa Operesheni ya jeshi na Mafunzo Kamishina Paul Chagonja alisema jeshi la polisi bado linawata Lema na Mbowe wajitokeze hadharani na kutoa ushahidi kwamba polisi walihusika katika kurusha bomu katika mkutano wa Chadema na kusababisha vifo vya watu watatu na jana aliongezeka mwengine na kufikia wanne.

Kamishina Chagonja alisema pia kwa sasa jiji la Arusha ni shwari na watu wanaendelea na shughuli zao bila wasi wasi na kuongeza kuwa endapo Lema na Mbowe hawaliamini jeshi la polisi katika kuwasilisha ushahidi wao, kuna mamlaka nyingi, kuna walinzi wa amani kila mahali, waende hata kwa shehe au hata kwa padre, na kufikia hatua hadi ya kusema kama wana wasi wasi basi waende kwa amiri jeshi mkuu na kumwambia mzee vijana wako hawa hapa na wanatufanyia hiki.

Kamishina Chagonja alisema hali sasa hivi Arusha ni shwari na watu wanaendelea na shughuli zao kama kawaida, watalii wanaonekana kila kona za jiji, magari, akina mama sokoni wanaendelea na kazi zao, hivyo hali ya amani imerudi.

Wakati huo huo wabunge wanne wa Chadema, Tundu Lisu wa Singida Mashariki, Mustafa Akonay na Joyce Nkya wa viti maalum na mwingine mmoja waliachia huru kwa dhamana pamoja na wafuasi wao sitini baada ya kushikiliwa na polisi kufuatia kuhusika na mkusanyiko usio wa halali.

Source: Nipashe Radio One
Read More
Posted in | No comments

CHADEMA Walonga na Kusema: "Tutawapa Polisi Mkanda japokuwa wana nia mbaya ."

Posted on 13:22 by Unknown
                                                 Bwana Mnyika


Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa CHADEMA Mh. John Mnyika amesema watatoa Mkanda wa ulipuaji wa bomu la Arusha kwa Polisi baada ya kupata ushauri wa kisheria hasa baada ya Polisi kuonyesha nia mbaya.
 
 
Source: chadematv
Read More
Posted in | No comments

East African Affairs ministers meet in Arusha

Posted on 07:19 by Unknown
East African Affairs ministers meet in Arusha
Read More
Posted in | No comments

Via IPPMEDIA: Wassira challenges Mbowe to name Saturday's rally bombers

Posted on 07:14 by Unknown
BY ALOYCE MPANDANA

                           steven wasira

Minister of State in the President’s Office for Social Relations and Coordination, Steven Wassira has asked the Chairman of Chadema, Freeman Mbowe to disclose the name of the person behind the Saturday bombing at the party’s campaign rally at Soweto grounds in Arusha.

Wassira made the call following accusatory statements made by Mbowe on Monday who indirectly labelled the government and the ruling party CCM of being behind the bomb blast. So far three people have died and scores injured by the bombing.

Speaking in the morning TV programme “Jambo” aired by the national television (TBC), Wassira said no one is permitted to kill another, hence Mbowe must disclose the name of the person who organised the attack on behalf of the government since he was quoted saying that he knew the persons behind the blast.

Recently Mbowe told reporters in Arusha that he and other Chadema leaders who were in the campaign were targeted in the blast.

“We have information showing that Mbowe was not in the main forum when the bomb went off so why would he allege that the bomb was targeting him?” wondered Wassira. 
Adding: “How is Mbowe a threat to the extent of prompting this government to resort to kill him? He is not a threat either to the government or the national security.”

“We should not take advantage of a tragedy like this to earn political popularity … however; it is the right time to find the root of the problem,” he said, insisting that peace keeping is the responsibility of everyone including political parties and must be maintained. 

On his part, President appointed lawmaker James Mbatia was of the view that the nation should not accept the tendency of such events, “it is better for all people to come together in a forum for discussion and stop issuing statements that do not offer any solution to the problem.” 
Read More
Posted in | No comments

Kama Ulikosa Matukio ya Mabomu Arusha, Tazama Picha Hizi... Halafu Tafakari...!

Posted on 03:45 by Unknown



Police Insp. Gen. Said Mwema akiongea na waandishi wa habari jana juu 
ya mlipuko wa mabomu Jijini Arusha


Read More
Posted in | No comments

CHADEMA Wafunguka. Unajua Wanasemaje? Fungua Usome Hapa

Posted on 03:16 by Unknown
CHADEMA: Mlipuaji wa Bomu la Arusha ni Polisi, Hatukubali mauaji ya aina hii tena


Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa CHADEMA akizungumza na Waandishi wa Habari leo tarehe 18/06/2013 Makao Makuu ya CHADEMA amesema CHADEMA inao ushahidi wa video kuwa aliyelipua bomu kwenye mkutano wa Chadema Arusha ni Polisi na Polisi wenzake wakamsaidia kutoroka

Source: chadematv

Read More
Posted in | No comments

Monday, 17 June 2013

United's David Moyes handed £60m transfer kitty by Glazers to spend on new players

Posted on 22:43 by Unknown

Manchester United’s owners, the Glazer family, are prepared to hand David Moyes a £60 million transfer kitty this summer in order to allow Sir Alex Ferguson’s successor to stamp his personality on the Old Trafford squad.


Moyes is due to return from a family holiday a week on Monday and it is understood that the Scot will then embark on securing his leading transfer targets ahead of the club’s three-week tour of the Far East and Australia, which begins with a friendly against a Singha All-Star XI in Bangkok on July 13.
Moyes is expected to recruit at least three new signings. Everton defender Leighton Baines, Barcelona midfielders Cesc Fàbregas and Thiago Alcantara and Borussia Dortmund forward Robert Lewandowski have all been identified by the club as targets, although interest in Everton midfielder Marouane Fellaini has cooled because of his £23 million buy-out clause. United will also be among the interested parties in Gareth Bale should Tottenham be willing to sell the Wales international.
It is unlikely the money will be used to fund a move for former United star Cristiano Ronaldo, although the club will continue to monitor the situation should the Portuguese forward ask to leave Real Madrid this summer. The £80 million fee United received for Ronaldo in 2009 and some prudent summer spending in recent years are part of the reason why United have money to spend now.
The expected departures of Nani and Anderson, and potentially French full-back Patrice Evra, could increase Moyes’s spending power still further, although the £60 million United have earmarked this year is already in excess of anything Ferguson was given in his 26-year reign as manager.
Last summer Ferguson persuaded the Glazers to agree to the £24 million purchase of Robin van Persie from Arsenal and the £17 million signing of Shinji Kagawa from Borussia Dortmund. They also came close to the £30 million signing of Brazil international Lucas Moura, before a late swoop by Paris St-Germain. It is thought that £30 million may have been rolled forward as part of this summer’s transfer kitty.
With both Van Persie and Kagawa playing key roles in United’s successful Premier League campaign last season, when the team delivered the club’s 20th league title, the Glazers are seeing the virtue of spending on the pitch, especially with domestic rivals Manchester City,Chelsea and Arsenal all shaping up to spend heavily.
The January signing of Wilfried Zaha from Crystal Palace for £12 million, prior to him being loaned back to the Selhurst Park club, will not impact on Moyes’s £60 million fund.
Although United still have a debt standing in the region of £370 million, the club’s accelerated commercial growth has enabled the Glazers to comfortably meet interest payments on their loans. The financial position has also been buoyed by the world record £53 million-a-year shirt sponsorship deal with Chevrolet owners, General Motors agreed last July – which begins in the summer of 2014 – and a £180 million partnership with Aon for the naming rights of the club’s Carrington training ground. United are also expected to negotiate a kit manufacturing deal with Nike in the next six months that could be worth some £600 million.
Source: b/r
Read More
Posted in | No comments

MANDELA'S WIFE THANKS WORLD FOR 'LOVE, GENEROSITY'

Posted on 01:29 by Unknown
Via AP
JOHANNESBURG  — The wife of former South African President Nelson Mandela says that love and generosity from across the world have brought comfort and hope during Mandela's latest hospitalization.
A wellwisher carrying get-well placard arrives at the Mediclinic Heart Hospital where former South African President Nelson Mandela is being treated in Pretoria, South Africa Sunday, June 16, 2013. 
Mandela spent his 10th day in the hospital Monday for a recurring lung infection.
President Jacob Zuma said Sunday that Mandela remains in serious condition but that his doctors are seeing sustained improvements. Zuma said Mandela is engaging with family during visits.
Graca Machel, Mandela's wife, in a written message Monday expressed the family's gratitude for messages of support, in particular from children singing outside the Mandela home.
The leader of South Africa's anti-apartheid movement, Mandela spent 27 years in prison during white racist rule. He was freed in 1990 and became South Africa's first black president in 1994.
Source: AP
Read More
Posted in | No comments

JAY-Z ANNOUNCES NEW ALBUM WITH SAMSUNG DEAL

Posted on 01:24 by Unknown
Via AP


NEW YORK  - Jay-Z is teaming up with Samsung to release his new album, unveiling a three-minute commercial during the NBA Finals on Sunday and announcing a deal that will give the music to 1 million users of Galaxy mobile phones.
The new album, called "Magna Carta Holy Grail," will be free for the first 1 million android phone owners who download an app for the album. Those who do so will get the album on July 4, three days before its official release, according to a Sunday statement.
Samsung is a leader in the mobile phone market and has been steadily chipping away at Apple's share of the market with its Galaxy phones. The deal with Jay-Z is yet another example of how mobile companies are using music to lure new consumers.

Source: AP
Read More
Posted in | No comments

Alimanusura Stars Wamuue Tembo!!! Ivory Coast Watinga Kumi Bora kwa 4-2

Posted on 00:36 by Unknown
                                    Kikosi cha Stars

Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars jana waliondoa matumaini ya kutinga Brazil kwa ajili ya fainali za kombe l dunia baada ya kukung'utwa magoli 4-2 katika mchezo mkali na wakuvutia uliochezwa jana kwenye uwanja wa Taifa Dar es salaam.

                    Mbwana Samata kulia, akiambaa na mpira

Stars waliokuwa wakishangiliwa kwa nguvu sana na umati wa mashabiki waliofurika uwanjani walipata bao katika dakika ya kwanza tu ya mchezo huo kupitia kwa mchezaji wao mahiri Amri Kiemba na kuwafanya Ivory Coast kuhaha sana na kufanikiwa kusawazisha goli hilo mnamo dakika ya 15 ya kipidi cha kwanza, na baadaye kuongeza bao la pili.

                          Ivory Coast wakishangilia goli

Katika dakika ya 38 Thomas Ulimwengu aliisawazishia Stars kwa kufunga bao la pili baada ya kupokea krosi mahiri toka kwa Shomari Kapombe. Na baadaye kabla ya kuisha kipindi cha kwanza Ivory Coast wakaandika bao la tatu kwa njia ya Penalty iliyopigwa na Yaya Toure anayekipiga MCFC. Hadi mapumziki Stars 2, Ivory Coast 3. Katika kipindi cha pili Ivory Coast wakaandika bao la nne na kuufanya mchezo uishe kwa 4-2.

   Yaya Toure, pamoja na umaarufu wake lakini alikuwa anakabika tu

Timu ya Stars walionekana kulishambulia kwa nguvu sana lango la wapinzani wao lakini hali hiyo haikibadilisha matokeo yoyote kwani kosakosa ndizo zilizotawala.

                            Gervinho, naye alikabika vizuri tu

Ni kitu gani unadhani kuiimarishwe ama kiongezwe ili Stars iweze kucheza kombe la dunia au lili la mataifa ya Afrika?



Read More
Posted in | No comments

Sunday, 16 June 2013

Charles James Kahela, Aliyenusurika Kuuawa kwa Bomu Arusha Amefunguka!

Posted on 23:42 by Unknown
MLIPUKO WA BOMU ARUSHA

Charles James Kahela

Bwana Charles James Kahela, mkazi wa Arusha hadi sasa anaona kama ni muujiza kwake kubaki hai,  kwani haamini na wala haelewi kwa nini yeye apone wengine wafe.
Akitoa ushuhuda wake kanisani, Bwana Charles alisema,

"Baada ya kutoka kazini niliamua kupitia kwenye mkutano wa Chadema ambao ndio ulikuwa unafikia mwisho na kwa sababu mahali pale palikuwa karibu sana na kwa bosi wangu, nikaamua ngoja nami nisipitwe niende kusikiliza chochote kutoka kwa mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Bwana Freeman Mbowe." Alifuta machozi, kisha akaendelea. 

"Wakati mkutano umefika mwisho na watu wakiondoa baadhi ya vitu uwanjani huku viongozi nao wakiowa wametoka jukwaani, nilisikia kitu kimerushwa nyuma yangu karibu kabisa na kichwa changu na kwenda kutua mbela ambako kulikuwa bado na watu wengi tu na watoto kadhaa. Nikasikia mlipuko mkubwa sana, baada ya muda nikaona watu wamelala chini na damu nyingi sana zikimwagika. Kweli ilikuwa ni hatari sana, sijawahi kuona tukio baya kama hilo. Muda si muda polisi waliwazingira viongozi wa Chadema kwa ajili ya ulinzi huku wengine wakianza kurusha risasi kuelekea upande wa wananchi waliokuwa wakitoa kipigo kwa mtu mmoja aliyedhaniwa kuonekana akirusha bomu. Ilikuwa ni hatari tupu. Ilinibidi kuvunja mojawapo ya mageti ya mbao ya nyumba jirani na kulala chini ili kukwepa risasi ambazo zilikuwa zilirushwa chini chini sana. Mpaka sasa hivi ninavyoongea bado mwilini  mwangu nasikia joto sana na kutetemeka." Alimaliza Bwana Charles.

Kwa mujibu wa taarifa ya habari ya Redio One Stereo ya saa 2:00 usiku, serikali ilisema kwamba mlipuko uliotokea kwenye mkutano wa Chadema ilikuwa ni bomu la kutupwa kwa mkono. Waziri wa Mambo ya Ndani Dr Emmanuel Nchimbi aliyasema hayo wakati alipowatembelea waathirika wa bomu hilo katika hospitali za Mount Meru, St. Elizabeth na Serani zote za Jijini Arusha.

Nao uongozi wa mkoa wa Arusha umewaomba wananchi kuweka pembeni itikadi zao za kisiasa na kushirikiana kuwabaini watu waliohusika na milipuko wa bomu 
Read More
Posted in | No comments

Friday, 14 June 2013

Huyu Hapa ni Wilfried Zaha wa MUFC

Posted on 13:08 by Unknown

 Zaha, wa tatu toka kushoto

 Zaha

Zaha

Zaha, kulia
Read More
Posted in | No comments

RVP KEPTENI WA UHOLANZI

Posted on 12:30 by Unknown

Manchester United striker Robin Van Persie has been named Holland captain and he has spoken out about his much-criticised silence during Euro 2012.
Read More
Posted in | No comments

Unamfahamu Manuel Pellegrini, Bosi Mpya wa MCFC? Hebu Mcheki Hapa

Posted on 12:18 by Unknown

Manchester City sacked manager Roberto Mancini with two games remaining on the Premier League schedule, but the team had a plan ready to replace him. Per a long-expected announcement, former Malaga boss Manuel Pellegrini will take over as manager, according to the team's official website. 


The report indicates Pellegrini will begin his tenure on June 24. Said the manager
Read More
Posted in | No comments

Real Madrid's Offer to Ronaldo

Posted on 11:53 by Unknown

Real Madrid’s contract renewal package designed for Cristiano Ronaldo will reportedly cost a total of €166m.
Read More
Posted in | No comments

Kama Unataka Kujua Alichosema Cristiano Ronaldo Juu ya Kusaini Madrid, Fungua na Usome Tweet Yake.

Posted on 11:41 by Unknown


Cristiano Ronaldo @Cristiano
All the news about my renewal with Real Madrid are false.
4:53 PM Jun 13th

Read More
Posted in | No comments

Thursday, 13 June 2013

Cesc Fabregas Kadai Maisha ya La Liga ni Matamu, Haondoki Ng'oo!

Posted on 02:31 by Unknown

Amesema, "Siku zote nimesema nina furaha nikiwa Barca. Yeyote anayesema mimi naondoka hanijui vizuri na hajawahi kuongea na mimi. 

“Hawajaongea hata na agenti wangu, bec Hause anafahamu kuwa sitaki yeye aongee na watu kuhusu mimi."  

“Huwa siongei mambo yangu hata na familia yangu. Kama mtu anaongea kuwa sitaki kucheza Barca, ana shida huyo."  

 
Read More
Posted in | No comments

Najua Unamfahamu Busta Rhymes wa Mamtoni. Sasa Soma Hapa Alichokifanya!

Posted on 00:54 by Unknown

Cheeseburger Restaurant Calls Cops on Busta Rhymes After Disturbance



Busta Rhymes allegedly wasn't too happy about waiting on line during a recent pit stop. The Hip Hop star, real name Trevor Smith, reportedly stormed a Cheeseburger Baby recently with his posse and wanted to get serve right away.
"He got very upset when we wouldn't take his order first when he was the last one to come in," owner Stephanie Vitori told the Miami New Times. "We treat everyone as equals here at Cbb. You can't skip the line of 10 people waiting in front of you."
Someone from his camp is said to have waited in line to take the order, but it wasn't over there. After receiving his meal, Busta allegedly returned to the store to complain about the food.
Vitori adds: "He came back in the restaurant and started becoming outwardly angry. He was calling our delivery driver Santiago a f** multiple times, and me a b**ch and (telling) me to 'shut the f**k up' because we put his salt, pepper, ketchup, and mayo - that he asked for - on the side..."
"He caused such a scene I was forced to call the cops on him. This is when he exited the restaurant... I deal with drunk and disorderly people all the time. I have been doing this for 11 years, but never in my life have I felt more disrespected as a business owner or woman."
Miami Beach police were called to the restaurant, but Busta had already fled the scene. A police report was filed by Vitori.
Source: Rappersroom
Read More
Posted in | No comments

Busta Rhymes - #Twerkit (Remix) Ft. Nicki Minaj | Video coming soon!

Posted on 00:11 by Unknown
Busta Rhymes - #Twerkit (Remix) Ft. Nicki Minaj | rappersroom.com
Read More
Posted in | No comments

Umeiona Kmart Clothing Collection Ya Nicki Minaj? Go Here!

Posted on 00:10 by Unknown
Source: Singersroom/Rappersoom




Read More
Posted in | No comments

Wednesday, 12 June 2013

Mourinho Alipoulizwa Kama Anamuhitaji Wayne Rooney, Alisema Hivi:-

Posted on 10:35 by Unknown
"I like him," Mourinho said. "He is at a fantastic age. He has maturity, big experience and is still young. It's up to him and what he wants, what makes him happy."

                                    Wayne Rooney

"He's a little bit like me," Mourinho added. "He doesn't need one more pound in his contract and one more cup won't make a difference. Be happy.
"Where is he happy? Where will he find more happiness to have ambition and drive him?"

Source: b/r
Read More
Posted in | No comments

Ushahidi wa Lionel Messi Kukwepa Kulipa Kodi Huu Hapa.

Posted on 10:01 by Unknown

Barcelona's El Periodico newspaper says the attorney involved has told it that Messi and his father Jorge deliberately hid commercial revenues from the Spanish authorities from 2006 through to 2009 by channelling the income through front companies in tax havens.
The paper reports the amount owed as €13 million, though other media has the figure being sought by the authorities as €4 million.
The paper quotes its source as saying the alleged tax dodge "consisted of simulating the assignment of image rights to front companies based in tax havens [Belize, Uruguay] and, at the same time, formalising contracts of licensing, agency or benefit from services between these companies, and other such instruments domiciled in convenient jurisdictions [the UK, Switzerland].
This was done with the intended and successful aim that the incomes would move from countries where the companies or entities were based, to companies domiciled in tax havens, without being submitted to any taxation and, furthermore, with total opacity towards the Spanish Tax Authorities. The beneficiary of these incomes was no other than the person served - Lionel A. Messi."

Messi naye anasema:-

 We communicate “We have just known through the media about the claim filed by the Spanish tax authorities. We are surprised about those news, because we have never committed any infringement. We have always fulfilled all our tax obligations, following the advices of our Tax Consultants who will take care of clarifying this situation.”

 Chanzo/Source: b/r
Read More
Posted in | No comments

Huu Hapa ni Ushahidi Kwamba Lewandowski Katia Dole Gumba Manchester United.

Posted on 09:38 by Unknown
  Source: HITC Sport
Lewandowski To United Fake Story
Read More
Posted in | No comments

Manchester United Wammulika Thiago Alcantara

Posted on 03:31 by Unknown
Manchester United wanasemekana kumuania Thiago Alcantara ambaye yupo kwenye kikosi cha Hispania cha under 21. 


Inasemekana pia kwamba ndani ya Barcelona Thiago ni mkali zaidi ya Xavi na Iniesta kwa umri aliokuwa nao na kiwango alichonacho ukilinganisha na hao wawili na kiwango chao walipokuwa na umri wa miaka 21.

Katia misimu miwili amecheza mechi 81kitu kinachoonesha kuwa mkali zaidi ya hao wenzake, kwani Xavi alicheza mechi 58 ndani ya misimu yake miwili ya kwanza na Iniesta alicheza mechi 29 tu katika misimu yake miwili ya kwanza. Hali hiyo itawafanya Manchester United kujidhatiti kwelikweli kama wanamuhitaji msukuma kandanda huyu. 
Read More
Posted in | No comments

Videos | TJ Boyce - It's On | Nayo mpyaa!

Posted on 03:01 by Unknown
Videos | TJ Boyce - It's On | Singersroom
Read More
Posted in | No comments

Videos | RaVaughn - Best Friend | Mpyaaaa Kabisa!

Posted on 02:55 by Unknown
Videos | RaVaughn - Best Friend | Singersroom
Read More
Posted in | No comments

Glenn Lewis - Can't Say Love. Ni Mpya Hii.

Posted on 02:47 by Unknown
Videos | Glenn Lewis - Can't Say Love [PREMIERE] | Singersroom
Read More
Posted in | No comments

Jay-Z Ampa Skylar Diggins Benz Kama Zawadi ya Graduation

Posted on 02:33 by Unknown
Baada ya Skylar kupata degree katika chuo cha  Notre Dame’s Mendoza College of Business, alipewa zawadi ya gari mpya aina ya Mercedes Benz na 
handwritten note toka kwa Jay.
 Na huyu kwenye picha ya juu na chini ndiye Skylar Diggins, ambaye 
pamoja na kisomo chake pia anacheza basketball.

Hii hapa chini ndiyo Benz yenyewe. 
 Na baada ya kupokea zawadi hiyo akaishea online na kuandika maneno haya "Got surprised with a new mercedes! Thanks so much to Jay and @rocnation, and @dancyautogroup!"

 Source: NicoleBitchie & Singersroom
Read More
Posted in | No comments
Newer Posts Older Posts Home
Subscribe to: Posts (Atom)

Popular Posts

  • Pictures of the Chinese baby Who fell into sewage pipe accidentally
    Being rescued Being fed Taken care of
  • Didier Drogba and His Colleague Anelka Aren't Paid..!!
    Shenhua Shanghai, the Chinese Super League club that made the game-changing move to sign ex-Chelsea stars Nicolas Anelka and Didier Drogba...
  • Sir Alex's All-Time Best Quotes
    Here are some of his most memorable quotes: On his mission after being appointed to the post: "My greatest challenge is not what's ...
  • Deabte: Who is Chelsea's Best Footballer Up to Now?
    Let people know your views on the best footballer in Chelsea right now.
  • Will Robeerto Mancini Last Long?
    According to HITC SPORT   What does a potential Champions League exit mean for Roberto Mancini and Manchester City? Despite a positive start...
  • Gareth Bale Pulls Out of Tottenham's Preseason Monaco Trip | Bleacher Report
    Gareth Bale Pulls Out of Tottenham's Preseason Monaco Trip | Bleacher Report
  • U.S. election — It’s all over but for the rage. Via TheStar.com
    By Mitch Potter   Washington Bureau                      Barack Obama and Mitt Romney Thestar.com reported:- It’s all over but the c...
  • Hii Ndiyo Kauli Waliyoitoa Everton kwa Manchester United kwa Kuwataka Baines na Fellaini
    A Club statement confirms bids for two players rejected. Source:   http://www.evertonfc.com/news/archive/2013/08/19/cl... Everton can confir...
  • Do You Know Who Said, "Joe Hart is World's Best Goalkeeper"?
    Joe Hart has been hailed as the world's best goalkeeper by Wayne Rooney after a stunning performance kept Manchester City's Champ...
  • BBC apologises to queen over Abu Hamza story. Via @ Capital FM-Kenya
    LONDON, Sep 25 – The BBC apologised to Britain’s Queen Elizabeth II on Tuesday after revealing that she raised concerns with a previous go...

Blog Archive

  • ▼  2013 (192)
    • ►  August (53)
    • ►  July (29)
    • ▼  June (40)
      • PICHA HIZI ZINADHIHIRISHA KUWA WANA AFRIKA YA KUSI...
      • Hali Ya Nelson Mandela Yaleta Utata Mtupu
      • Haya Ndiyo Aliyoyasema Shinji Kagawa!
      • CHADEMA Wafunguka Tena. Safari hii ni Kuhusu Ugaid...
      • Nelson Mandela in Critical Condition. As Written b...
      • Yalojiri Kwenye Mechi Kali ya Japan Dhidi ya Italy
      • Freeman Mbowe na Mwenzake Godbless Lema bado Wanas...
      • CHADEMA Walonga na Kusema: "Tutawapa Polisi Mkanda...
      • East African Affairs ministers meet in Arusha
      • Via IPPMEDIA: Wassira challenges Mbowe to name Sat...
      • Kama Ulikosa Matukio ya Mabomu Arusha, Tazama Pich...
      • CHADEMA Wafunguka. Unajua Wanasemaje? Fungua Usome...
      • United's David Moyes handed £60m transfer kitty by...
      • MANDELA'S WIFE THANKS WORLD FOR 'LOVE, GENEROSITY'
      • JAY-Z ANNOUNCES NEW ALBUM WITH SAMSUNG DEAL
      • Alimanusura Stars Wamuue Tembo!!! Ivory Coast Wat...
      • Charles James Kahela, Aliyenusurika Kuuawa kwa Bom...
      • Huyu Hapa ni Wilfried Zaha wa MUFC
      • RVP KEPTENI WA UHOLANZI
      • Unamfahamu Manuel Pellegrini, Bosi Mpya wa MCFC? H...
      • Real Madrid's Offer to Ronaldo
      • Kama Unataka Kujua Alichosema Cristiano Ronaldo Ju...
      • Cesc Fabregas Kadai Maisha ya La Liga ni Matamu, H...
      • Najua Unamfahamu Busta Rhymes wa Mamtoni. Sasa Som...
      • Busta Rhymes - #Twerkit (Remix) Ft. Nicki Minaj | ...
      • Umeiona Kmart Clothing Collection Ya Nicki Minaj? ...
      • Mourinho Alipoulizwa Kama Anamuhitaji Wayne Rooney...
      • Ushahidi wa Lionel Messi Kukwepa Kulipa Kodi Huu H...
      • Huu Hapa ni Ushahidi Kwamba Lewandowski Katia Dole...
      • Manchester United Wammulika Thiago Alcantara
      • Videos | TJ Boyce - It's On | Nayo mpyaa!
      • Videos | RaVaughn - Best Friend | Mpyaaaa Kabisa!
      • Glenn Lewis - Can't Say Love. Ni Mpya Hii.
      • Jay-Z Ampa Skylar Diggins Benz Kama Zawadi ya Gra...
      • Is Tatyana Ali Dating Drake?
      • D'You Want to Know What Kelly Price Is About to Do?
      • Joe Thomas Akifunguka; Pia Kuhusu Album Yake Mpya.
      • Fabregas Kusaini Manchester United ama Arsenal?
      • Mourinho "the happy one" Unataka kujua kwa nini? f...
      • Robert Lewandowski Haendi Bayern Munich
    • ►  May (10)
    • ►  April (9)
    • ►  March (28)
    • ►  February (6)
    • ►  January (17)
  • ►  2012 (308)
    • ►  December (47)
    • ►  November (18)
    • ►  October (48)
    • ►  September (125)
    • ►  August (70)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile