Friday, 31 August 2012

Berbatov Aenda Fulham

Hatimaye Dimitr Berbatov anahama Man United na kuelekea Fulham kwa donge la dola milioni 5.

"Berbatov anamalizia vipimo vyake na kama mambo yataenda vema atakuwa moja ya wachezaji wetu. Kulikuwa na timu nyingi zilikuwa zinamuhitaji lakini sisi tulikuwa na uwezo wa kumpata. Alikuwa kwenye list yangu wakati wote. Nilijaribu kumfuatilia miezi kadhaa iliyopita lakini sikufanikiwa hivyo nilirudi tena na sasa ulikuwa ni wakati muafaka kwa yeye kufanya maamuzi." Alisema Martin Jol kupitia Fulham FC.com.


Berbatov alienda Man United akitokea Tottenham Hotspur mwaka 2008 kwa rekodi ya uhamisho wa dola milioni 30, kitu ambacho kinaonekana hakijaendana na uwezo wake wa kazi awapo uwanjani.

Lakini kama isingekuwa uwezo wake wa ajabu wa kipindi cha kwanza mwaka 2010-2011, Man United wasingeweka rekodi ya kuchukua kombe la ligi mara 19 msimu huo.

Berbatov alikuwa kwenye msimu wa mwisho wa mkataba wake, na kwake yeye mwenye miaka 31 kupata mkataba wa dola milioni 5 siyo biashara mbaya. Hasa ikizingatiwa kwamba thamani yake kama ilielekea kushuka na timu zilizomuhitaji zililijua hilo.

Man United wakiwa na washambuliaji kama Wayne Rooney, Robin Van Persie, Danny Welbeck na Javier Hernandez, Berbatov asingekuwa kwenye mpango wa Ferguson kama ilivyokuwa msimu uliopita.

"Hatutamwongezea Mshahara Walcott," Asema Wenger

Arsene Wenger alisisitiza jana kwamba bado anajaribu kumshawishi Theo Walcott kusaini mkataba mwingine na Arsenal, lakini akamwambia winga huyo kwamba sheria za mishahara hazitapindishwa kwa sababu yake.


 Theo Walcott

Walcott ameruhusiwa kuendelea na mkataba wa mwaka mmoja wa mwisho, hatari ambayo Arsenal waliikwepa kipindi cha nyuma walipomuuza Robin Van Persie hivi karibuni na Samir Nasri mwaka jana.

Walcott atakuwa huru kuondoka msimu ujao wa joto (summer) endapo mkataba wake utafika kikomo, lakini Wenger ana uhakika zaidi kwamba atabakia kuliko alivyowafikiria Van Persie na Nasri.
"Theo ana miaka 23 tu, ni mwingereza, anaishi mwendo wa dakika 10 tu toka hapa. Hivyo natumaini tutafikia makubaliano." Alisema Wenger.

Arsenal hawana mpango wa kulipa wachezaji viwango vya juu sana na Wenger aliweka wazi kabisa kwamba hivyo ndivyo ilivyo. "Kila maamuzi yana mpangilio wake na hicho ndiyo kiwango chetu cha mshahara na tunakiheshimu. Kama hatutafanya hivyo hatutafika popote. Hakika ni tofauti kwa mchezaji mwenye miaka 29 na yule wa 23. " Alisema Wenger.

Wenger akiwa kazini

Wenger pia alimtetea Walcott kwamba yeye siyo mpenda pesa. "Hajatawaliwa na pesa. Zipo tofauti kidogo kwenye makubaliano ambazo lazima zitokee.

Wakati mazungumzo bado yanaendelea msimu huu, Walcott atabakia Arsenal, na Wenger ana wasiwasi kidogo juu yake. "Sijui nini kitatokea Januari," alisema Wenger. "Nina wasiwasi zaidi kuhusu Jumatatu (wakati Arsenal watakutana na Liverpool huko Anfield). Theo yupo kwenye mazoezi na anatarajiwa kufanya vizuri, na kinachotokea mwisho wa msimu kinatokea mwisho wa msimu."

Adabu ya Walcott ilielezwa na Wenger kuwa ni "Fantastic." Alipoulizwa ana uhakika gani juu ya commitment ya Walcott kwa Arsenal, Wenger alijibu, "Bado hatujapata mashine itakayopima nguvu au kiwango cha mapenzi ya mtu kwa timu, wote tungeinunua mashine hiyo."

Wapenzi wengi wa Arsenal wanataka timu itumie pesa lakini Wenger anasema hawatafanya hivyo kwa ajili ya kuikoa timu. "Kutumia pesa sio ubora. Kununua wachezaji wazuri ndiyo ubora, wachezaji wazuri zaidi ya uliokuwa nao ni bora. Tutafanya matumizi ya pesa tutakapopata wachezaji sahihi." Alisema Wenger.

Thursday, 30 August 2012

Bangi Yakamatwa Namanga Ikitokea TZ..!!

Zaidi ya kilogramu 900 za bangi yenye thamani ya shilingi milioni 9 zilikamatwa jana Alhamisi na maofisa wa mamlaka ya mapato ya Kenya mpakani mwa Kenya na Tanzania.

Haya ndiyo magunia ya bangi yaliyokuwa yanaingizwKenya 
kutokea Tanzania


Bangi hiyo iliyokuwa ndani ya magunia 31 ilikuwa ikisafirishwa kwa lori ambalo baada tu ya kukatiza mpaka kuingia Kenya maofisa walilitilia mashaka.

"Maofisa walikuwa wakifanya ukaguzi wao wa kawaida tu wakati walipoikuta bangi imefichwa kwenye lori hilo." Alisema msemaji wa Mamlaka ya Mapato Kenya bwana Kennedy Onyonyi.

Dereva wa lori hilo alitoroka mara moja wakati polisi wakilikagua lori lake na wameamua  kufanya doria ya kumsaka maeneo ya Namanga, mpakani mwa Kenya na Tanzania.

Kufuatia tukio hilo, polisi wa Kenya wamemua kuweka ulinzi mkali ili kuzuia uingizaji wa bangi nchini mwao kutokea Tanzania.

Baware/Chukua Tahadhari: OnLine Theft-Wizi Wa Kwenye Mtandao

Ukiziangalia e-mails hizi hapa unaweza kudhania utaibuka tajiri mkubwa Duniani. Kumbe ni janja ya baadhi ya majitu ambayo hayafanyi kazi bali kupanga mbinu mbalimbali za kuwaibia watu.

Ona e-mails hizi hapa na Chukua Tahadhari.

Dearest one,

How are you today together with your business and your entire family?I guess that everything is OK with you.
I know this mail will not come to you as a surprise since we have not had a previous correspondence,please bear with me.
I am more than happy to read your interesting mail from site and i hope that you are fine and healthy, I have noticed that you are the kind of man i am looking for since all this while, i believe that you are a trust worthy and caring person, that's what makes me to disclose my identity to you.

                 
My  name is Miss Juliet Muse,23 years old   from Darfur Region of Sudan  and presently i am residing in the refugee camp here in Dakar  Senegal as a result of the  the killing of my family by the rebels on  last year  please don't be discouraged for hearing this.I believe deep down inside me that you will never break my heart or let me down in anyway.I am from the family of late Engr Musa Camara. My late father Engr.Muse Camara, was the Chairman,  Gruv-Melton Oil and Gas  Company a private  extracting oil firm in  Darfur. The  brutal killing of my mother and my father, one kid sister and kid brother  took place one early morning by the rebels as a result of the civil war that is going on until now in Sudan. I was in my second year in Applied Mathematics department of University of Darfur in Sudan before the death of my loved Parents. I contacted you for a possible help. My step mother was a very wicked woman and she intend to kill me since my father and my real biological mother is died. Then she planned to take away all my late father's property and some other valuable things from me since the unexpected death of my beloved Parents. Meanwhile I wanted to find my way out of my country because I have seen what she is planning to do to me.  I thereby plan to go to Europe, but she hide my international passport and other valuable traveling documents. Luckily she did not found where I kept my fathers File which contains important documents.

I managed to escape with the documents which covers my late father's deposited money$6.5 MD(Six  Million five Hundred Thousand US Dollars). which he use my name as the next of kin. Meanwhile,I am still residing here as a refugee under the UNITED NATIONS COUNCIL FOR REFUGEES, i am saddled with the problem of securing a trust worthy foreign personality to help me transfer the money from the bank pending my arrival in your country. I will like to see you face to face soon.Furthermore, on your wish you can contact the bank for confirmation and you can communicate directly with them regarding this fund of my late father which was deposited in their custody. I am giving you this offer as mentioned with every confidence on your acceptance to assist me retrieve the money from the bank and transfer to your nominated account. I will like to further my studies as soon as i arrive to your country, please try to help me to achieve this goal as i have a desire to become a famous personality in the nearest future. I will be pleased if you can do this for me.

You can reach me through this number ( +221 77 800 19 18) It is a Reverend Fathers phone number, by name Reverend Father John paulson and if you call, please ask of Juliet Muse. When ever you call, try to tell him that you want to speak with  Juliet Muse, i am staying in the female hostel. I have already inform him, that some one will call me through his phone. He will send for me from the hostel to come and speak with you.  So please do not fail to call me, because I need to hear your voice too.
So on your which to help me out i will like to have your data such as:

1.Your Full name
2.Your country
3.Your occupation.
4.Your phone or fax number.

Immediately i receive this i will give you the contact of the bank where the money was deposited for you to contact them.
Bye and take a good care of yourself,have a nice day.

Yours sincerely,
Juliet

na hizi ndiyo picha zake alizozituma:




Baada ya hapo ikafuata hii email 

 My Beloved Darling and My Destiny,

Thanks for accepting to assist me in transferring my late fathers money into your account   and i believe you are reliable and capable to handle this transfer.

Furthermore, My Dear, I have written nomination letter to the bank in London which i will like you to copy the letter below and send it to the bank also for them to direct us the possibilities in transferring my late father's money into your account.



Dr. Gerry Higgins,
Director - Credit Administration Dept.,
Clydesdale Bank PLC,
35 Regent Street,
Westminster, Hay-market,
London, SW1Y 4ND.
Tel:   (+44-7045-790-643) Fax (+44-7150-393-96)
Email: (payinforscbplc@post.com )

Name of Depositor: Engr. MUSA CAMARA
Name of Next of Kin: MISS. JULIET MUSA
Amount Deposited: U.S. $ 6,500,000.00
Date Deposited: 7th January, 2006
Ref No account. CB/IO/45121/0055478-541/2006

SEE THE LETTER YOU WILL SEND TO THE BANK BELOW AND THIS IS THEIR EMAIL ADDRESS ( payinforscbplc@post.com )

Hello,

Good Day Dr. Gerry Higgins,

I am Mr. .............  and a foreign partner to Miss Juliet Musa, who is residing in Senegalese Refugee Camp. Sir i want to know the possibility to assist her in transferring her late fathers money to my account in my country Miss Juliet and I have already decided to transfer the money into my account. So please do contact me immediately, because she is residing in Refugee Camp and she need to start her education and live a normal life with me where I'm residing. Please sir inform me on what to do, so that this money will be transferred into my account and it will be useful for Juliet who is the exact person to get benefit of the amount.

Here is the Details for your reference account holder.

Name of Depositor: Engr. MUSA CAMARA
Name of Next of Kin: MISS. JULIET MUSA
Amount Deposited: US$6,500,000.00
Date Deposited: 7th January, 2006
Account Ref No. CB/IO/45121/0055478-541/2006

Waiting your response as soon as possible.
Thanks.

Mr............

Kisha ikafuata email toka Bank:


Director - Credit Administration Dept, 
Dr. Gerry Higgins, 
Tel 
+44 703 182 2665
Fax +44 844 774 2169.

Head Office,
Clydesdale Bank Plc,
Registered Office:
30 St Vincent Place,
Glasgow, G1 2HL.


Your Application for Claim
For Your Kind Attention,

Attention! Sir/ Mr 
Abel R Kalamata


I have been directed by the Director, Credit Administration Dept to write you based on the application form which we received.

Actually,we have earlier been told about you by the young lady Miss Juliet  Musa, that she wishes you to be her Trustee/Representative for the claim of her late father's deposit with our bank.

Engr. Musa Camara was our late customer with substantial amount deposited with us. As asked, the volume of fund currently deposited with our bank is US$6,500,000.00. Hence you have been really appointed as a trustee to represent the Next of Kin cum Mandate Beneficiary.

However before our bank will transact any business concerning the transfer of the fund with you, we will like you to send the following documents to our bank:

1. A power of attorney permitting you to claim and transfer the fund to your bank account on her behalf. This document must be endorsed by a Senegalese resident lawyer.

2. The death certificate of (Her deceased father)confirming the death.

3. A copy of the statement of the account issued to her late father by our bank.

4. An affidavit of oath from the Senegalese High Court.

5. The scan copy of your identity card.

Note that the above are compulsory, and are needed to protect our interest,yours, the next of kin after the claims. These shall also ensure that a smooth, quick and successful transfer of the fund is made.

To enhance quicker processing of this fund, you are to provide this bank with the following information needed inour BTD Form 41.

1. Full Name
2. Contact Address
3. Name of Bank include Bank details where this fund is expected to be wired to.
4. Occupation/Profession.
5. Your Identification Card.
6. Your Fax.

These information are urgently on receipt of this mail so that we can create your Fund Transmission File with the Data Processing Department and International Payment Office/Telex Services Dept respectively.

We promise to give our customers the best of our services. Should you have any question(s)please contact us our foreign transfer officer Dr. Gerry Higgins.

Yours Faithfully,
For: Clydesdale Bank Plc.

Mrs. Sandra McLean
Senior Manager - FTA International.


Halafu hii hapa:

 My Beloved One and My Guiding Angel,

How  are you spending your weekend  in my promise destination?, and i guess you are spending the weekend in proper way and God almighty will grant you success and favor you in everything you are doing there .

Honey thanks a lot for forwarding me the letter you receive from the bank in London and they are demanding some document from Senegalese High court before they will approve and transfer my late father money into your account

Well, i have my late father Deposit and Death Certificate with me here and i have already inform the Rev father to help us and look for a lawyer who will help us in preparing the remaining document in your name from Senegalese high court and as instructed by Clydesdale Bank of London.

Darling, i will inform you back when the Rev father give me the information of the lawyer so that you can contact him immediately.

Have a wonderful weekend and take good care of yourself,
Yours Juliet.

Halafu hii hapa:

 My Beloved Darling and My God Sent,

Darling, today Reverend father have helped me in scanning my late fathers Death and Deposit Certificate and i have attached the both documents for you to view and confirm them, so please do not expose them for security reasons.

So please i will like you to contact him through email and phone today, when your contacting him, tell him that you are my Foreign Partner and you want him to prepare a power of attorney in your name to enable the Clydesdale Bank of London transfer my (Late) father's money into your account.
This is the Lawyer's contact ;


Dr. Aliu Omega,
Principal Attorney,
Aliu Law office,
Attah House,
Dakar Senegal
Email: aliuomega@yahoo.fr
Tel:   +221-776-953-873


Honey, i will like you to contact him for preparing of power of attorney and other documents requested by the bank, Please do contact me when you are in contact with him and do let me know if he agree to help us.

Please i will like you to first of all get the money transferred into your account and from it you can send some money for me to prepare my traveling documents to meet with you and establish a normal life as a living and also further my education as well. I am waiting to hear from you soon,

With lot of Love from my deepest heart
Yours forever,
Juliet.

Hii ni email ya aliyejifanya lawyer:

 DR. ALIU  LAW FIRM & ASSOCIATES SN‏‏.
Your Ref: Power Of Attorney/Change of Ownership.
Our Ref: JLC/Vol.19 Case No.015981/06.


ATTENTION  SIR. ...............

SEQUEL TO YOUR EMAIL TO MY CHAMBER ON HOW TO PROCESS A LEGAL DOCUMENTS. A. POWER OF ATTORNEY. B. AFFIDAVIT OF OATH. C. LETTER OF PROBATE, FOR THE BOTH PARTIES IN SENEGALESE SUPREME HIGH COURT.

MY NOBLE LAW FIRM WISH TO BRING TO YOUR NOTICE THAT BEFORE WE CAN PROCEED WITH THIS SERVICES WE WILL WANT YOU TO FURNISH UNDERMENTIONED REQUIREMENTS:

1. YOUR FULL NAME.
2. YOUR RESIDENT ADDRESS.
3. YOUR MOBILE PHONE OR FAX NUMBER.
4. YOUR PROFESSION/OCCUPATION.
5. INTERNATIONAL PASSPORT / IDENTIFICATION IDENTITY CARD NUMBER.
6. DATE OF BIRTH AND PLACE OF BIRTH.
7. THE INFORMATION OF YOUR BANK WHERE THE FUND WILL BE CREDITED BY CLYDESDALE BANK PLC.

I WILL GO TO THE FEDERAL HIGH COURT OF JUSTICE, TO OBTAIN THE COST OF THE AUTHENTICATION OF THE POWER OF ATTORNEY BEFORE IT BECOMES VALID. AFTER WHICH MY LAW FIRM WILL CONTACT YOU BACK WITH THE REQUIREMENTS BEFORE ACCEPTING TO RENDER THE REQUIRED LEGAL SERVICES THANKS.
 
REGARDS,

Dr. Aliu Omega,
principal Attorney,
Aliu Law office,
No. 14 Cheikh Anto Diop Avenue,
Dakar Senegal.
Tel:  +221-776-95-3873.
Tel: +221-777-988-158.


Next time ntakuletea email nyingine za wizi kama hizi za leo: Kaa chonjo.

Umeshaona Anavyokabwa Messi Uwanjani? Angalia Hapa

Sina haja ya kuongeza neno lolote zaidi ya kukuachia mwenyewe uangalie jinsi alivyozungukwa!!!!


Ronaldo Na Mourinho, Nani Muhimu Sana Kwa Madrid?

Cristiano Ronaldo na Jose Mourinho wanasemekana kuwa ni watu muhimu sana kwa yale wanayoyafanya.
Ronaldo anaweza kuwa mchezaji bora wa mwaka na mara kwa mara huitwa mchezaji bora. Mourinho anafanana naye kwani hutajwa sana kama kocha bora wa soka.

Ronaldo anaendelea kuvunja rekodi na anadhaniwa na wengi kwamba ni mchezaji bora wa soka duniani. Meneja wake tayari ameshashinda makombe ya Champions League na katika nchi mbalimbali ameshashinda makombe ya ligi.

Kwa sasa watu hawa wawili wanaotazamwa na dunia wako kwenye timu moja ya Real Madrid, hivyo hufanya kutokea kwa swali-Nani ni muhimu zaidi ya mwenzake kwenye timu hiyo?

Swala hili linaweza kuleta mabishano mengi kwa pande zote mbili, lakini pia linaweza kuleta wazo moja muhimu ya kwamba hakuna kilicho muhimu kwa Madrid zaidi ya mafanikio. Nayo ni kwamba kikosi kizima cha Madrid na wale wanaompa Mourinho nguvu wote wana wajibu wa kuleta mafanikio kama walivyo Ronaldo na Mourinho.

Wewe mjadala wako ukoje juu ya watu hawa wawili;

  Cristiano Ronaldo 




 Na 

 Kocha Jose Mourinho

Source: Bleacher Reports

Jinsi Ilivyokuwa Kati Ya Madrid Na Barcelona Kwenye Super Cup


Real Madrid waliibuka na ushindi 
wa magoli 2-1 dhidi ya Barcelona na 
kufanya wafungane 4-4 (agg) na hivyo 
Madrid kuwa mabingwa wa Super Cup
 baada ya kuwa na magoli ya ugenini.


 magoli ya Madrid yalifungwa na Gonzalo Higuain
 na Cristiano Ronaldo, wakati lile la Barcelona 
lilifungwa kwa Free-kick na Messi. 
Huku Adriano akipewa kadi nyekundu baada 
ya kumchezea Rafu Ronaldo aliyekuwa 
akielekea kutingisha nyavu.

 Gonzalo Higuain akishangilia goli baada ya kufunga


 Messi akishangilia goli lake

 Ronaldo naye akishangilia hapa


 Ronaldo pamoja na Pepe wakilishikilia Kombe


 Juu: Higuain akifunga goli wakati chini akishangilia kwa style ya kutereza chini


 Ronaldo akifunga goli

Picture Sources: MailOnline, GETTY IMAGES, Reuters, EPA

Torres Anauhakika Wa Kuziba Pengo La Drogba Chelsea

 Fernando Torres anauhakika kwamba ataziba pengo la Drogba kufuatia Mchazaji huyo toka Ivory Coast Kuuzwa huko Uchina kwenye timu ya Shanghai Shenhua.

Drogba alijiunga na timu hiyo ya China baada ya kufunga magoli 157 kwenye timu yake ya Chelsea ndani ya miaka 8.

Torres amesema yupo tayari kuiongoza Chelsea kwenye Champions League na kwamba anayapenda hayo majukumu na amekuwa akifanya hivyo maisha yake yote.

 

"Mahusiano yetu yalikuwa ni mazuri na nilikuwa naongea naye alipoamua kuondoka Chelsea, akanitakiwa mafanikio mazuri na kwamba huenda siku moja watu watanikumbuka mimi kama wanavyomkumbuka yeye." Aliyasema Torres Julai 28 mwaka huu.

Mpaka sasa tayari matunda ya juhudi zake yameanza kuonekana kwani ametokea kuwa ni mchezaji muhimu Chelsea kwa lengo lake la kufunga magoli.

Shanghai Shenhua Huenda Wakampoteza Drogba

Kibarua cha mchezaji wa zamani wa Chelsea Didier Drogba huenda kikafika kikomo kwenye timu yake mpya ya Shanghai Shenhua baada ya kutokea kwa mgogoro wa mapato kwa viongozi wa timu hiyo.

Mwenyekiti wa timu hiyo Zhu Jun ametishia kuchomoa investment yake hivyo kuleta hisia kwamba Drogba na mwenzake Anelka Huenda wakauzwa.



Zhu amekuwa akilipa mishahara ya pauni 200,000 kwa wachezaji hao kwa wiki na sasa ametishia kulipa asilimia 28.5 tu kama sehemu ya mchango wake kwenye timu.

Zhu alitoa zaidi ya pauni milioni 60 kwenye timu kwa matarajio kwamba angepata faida ya asilimia 70, lakini jambo hilo limekuwa gumu sana na matokeo yake yupo tayari kuondoa investment yake kwenye timu hiyo.

Wednesday, 29 August 2012

Champions League Itakuwa Hivi..!!


CHAMPIONS LEAGUE GROUP STAGE DRAW SEEDING

GROUP 1: Chelsea, Barcelona, Manchester United, Bayern Munich,
Real Madrid, Arsenal, Porto, AC Milan.


GROUP 2: Valencia, Benfica, Shakhtar Donetsk, Zenit St.
Petersburg, Schalke, Manchester City, Braga, Dynamo Kiev.


GROUP 3: Olympiacos, Ajax, Anderlecht, Juventus, Spartak Moscow,
Paris Saint-Germain, Lille, Galatasaray.

GROUP 4: Celtic, Borussia Dortmund, BATE Borisov, Dinamo Zagreb,
CFR Cluj, Malaga, Montpellier, Nordsjaelland.
 
Source: Bloomberg News 

Huyu Hapa Ni Usain Bolt

Usain Bolt amejizolea sifa kubwa 
sana duniani baada ya kuonesha 
umwamba wake wa mbio za mita 
100 na 200 kwenye michezo ya 
Olympic iliyofanyika mwezi uliopita
 huko London Uingereza.


 Mara zote alikuwa anatamba kwamba 
atashinda  kabla ya mbio kufanyika 
na wakati wa mbio ndicho alichofanya
 na kusababisha watu wengi wa
 mataifa mbalimbali kuvutiwa 
naye na kumpenda sana.


 Ilifikia hata watu wa mataifa mengine 
walimshangilia kwa nguvu zote



Imegundulika kwamba Usain Bolt 
ni mshabiki mkubwa sana wa 
Man United na anapokuwa 
England hujaribu kuhudhuria 
mechi zote za Mashetani hao wekundu.


Kuna wakati alisikika akisema 
kwamba anamwomba Sir Alex Ferguson 
amsajili kwenye kikosi chake 
kwani pamoja na kuwa na wachezaji 
wenye vipaji pia timu inahitaji 
wachezaji wenye mbio kama yeye.

Msimu wa Ligi Hispania: Nani zaidi Kati Ya Ronaldo na Messi.?

Tunaweza kuwaita ni wachezaji wa dunia kwani hata watoto wadogo wanawafahamu hawa zaidi kuliko wachezaji wengine wowote. Hiyo inatokana na ukweli usiofichika kwamba ni wachezaji muhimu sana kwenye timu zao na wanafanya yale ambayo timu na makocha wao wanatarajia na hivyo kuwafanya wabakie kwenye nafasi za juu ulimwenguni na kumzo kubwa.

Messi na Ronaldo wakisalimiana
 
 Wakati msimu wa ligi ya Hispania maarufu kama "Primera La Liga" ndiyo umeanza hivi karibuni, yameibuka maswali mengi sana miongoni mwa mashabiki wa Lionel Messi anayechezea Barcelona na wale wa Christiano Ronaldo anayechezea Real Madrid kwamba "nani atakuwa zaidi ya mwenzake msimu huu?."

 Messi akifanya vitu vyake uwanjani

Ronaldo huwa anaifunga Barcelona pale wanapokutana na Messi vivyo hivyo. Jambo ambalo linafanya swali la nani zaidi kuwa gumu sana kujibika kutokana na ukweli kwamba wote wawili ni wakali sana na kama mmoja anmzidi mwenzake basi ni kidogo sana.






Yule mkimbiaji maarufu wa Jamaika, Usain Bolt aliwahi kusikika akisema kwamba siyo kweli kwamba Messi ni zaidi ya Ronaldo bali alidai kwamba Ronaldo ndiyo zaidi ya Messi.
 Sijajua kama aliyasema hayo kwa sababu yeye ni mpenzi mkubwa wa Man United alikokuwa anachezea Ronaldo ama la.

 Ronaldo akishangilia goli baada ya kuwafunga Barcelona

Jambo la kufanya kwa mashabiki wa soka ni kusubiri na kujionea wakati mechi mbalimbali zitakapokuwa zikichezwa na timu hizo mbili zinazoongozwa na wachezaji hao wawili wenye umaarufu mkubwa duniani.

Wewe unasemaje? unalo jibu la nani zaidi kati ya Ronaldo na Messi?



Walcott Kwenda Man City?


Anaitwa Theo Walcot. Inasemekana Manchester City wanampango wa kutangaza dau la kumnunua mchezaji huyo baada ya kugundua kwamba anaweza asitie saini yake tena kuichezea Arsenal.

Inasemekana Roberto Mancini anavutiwa sana na fowadi huyo wa Arsenal kwa muda mrefu sana kiasi kwamba huenda akatangaza dau ingawaje na Liverpool nao inaonekana wana lengo kama hilo.

Mshauri wake alianzisha mazungumzo na Arsenal Ijumaa iliyopita ya kuhusu mkataba mwingine wa miaka mitano wa dola 75,000 kwa wiki, walakini wawakilishi wake inasemekana wanataka kuikataa ofa hiyo.

Katika mazungumzo mengine ya Jamanne, Arsene Wenger akiwa anatamani kumbakiza winga wake huyo, yeye pamoja na uongozi wa club wamesema kwamba wanatarajia kumuuza mchezaji huyo kabla ya kufungwa kwa pazia la usajili Ijumaa kama hawatasikia chochote toka kwake kama anataraji kuendelea na Arsenal.

Unamfahamu Antonio Valencia? Huyu Hapa

 Valencia akiwa kwenye moja ya harakati zake za kuchonga krosi

Alijiunga na Manchester United mwaka 2009 kwa donge la dola milioni 17. Naye ni raia wa Ecuador.  Ilikuwa ni wakati Christiano Ronaldo anahamia Real Madrid na kuacha pengo kubwa sana kwa Man United. Pengo ambalo hakuna aliyewahi kuwaza kwamba lingezibika.

Lakini mara alipoanza kuichezea Man United alianza kuonesha kwamba anaweza kwani mbio pamoja na krosi zake kuelekea upande pinzani vilikuwa ni hatari tupu.

 Alianza vizuri sana lakini akakumbwa na balaa la kuumia kiasi kwamba alikaa nje ya dimba kwa muda na kufanya watu washindwe kushuhudia uwezo wake vizuri.

Msimu uliopita ndipo watu walipoona umuhimu wake na kipaji chake na kugundua kwamba ni winga wa kiwango cha juu sana. Akiwa na uwezo wa kukimbia na mpira kwenye wing ya kulia na kuachia mashuti yake  ya krosi kama risasi zikiwa zinawalenga Wayne Rooney pamoja na Javier Hernandez.

Winga huyo ambaye watu hudhani ni old fashion, hapendi sana kupiga chenga badala yake ni kukimbia na kutoa krosi, alifunga magoli 6 na kusababisha 13, huku ni David Silva pekee akiwa juu yake kwa kusababisha magoli 15 kwenye mechi nyingi.

Msimu ambao alifanya juhudi sana bila kuchoka na mashabiki wa Man United wakamzawadia "Mchezaji bora wa mwaka" na zawadi ya goli la msimu kwa goli alilofunga walipocheza dhidi ya Blackburn Rovers.

Udhaifu pekee ambao mashabiki wa Man United wanauona kwake ni kule kushindwa kwake kutumia mguu wa kushoto wakati wa mchezo. Japo alijaribu kupiga krosi kwa mguu wa kushoto pale walipopambana na Fulham.

Ni mchezaji ambaye kwa kweli anastahili kuwa hapo alipo leo. Valencia, mwenye miaka 27 sasa, ana uwezo bado wa kukuza soka lake na kuwa moja ya wachezaji wa kukumbukwa duniani. Hakuna maswali mengi sana juu ya hilo kwani sasa anavaa namba ya jezi iliyovaliwa na wachezi maarufu sana duniani.

Wewe unasemaje kuhusu Valencia?

Monday, 27 August 2012

Hivi Umesikia Shinji Kagawa Amesema Nini Kuhusu Sir Alex Ferguson?


Kagawa Asema: Sielewi chochote anachosema Ferguson.
mchezaji huyo ndiyo kwanza anajaribu kujifunza Kiingereza na anakubali kuwa kwa kujaribu kutafsiri Kiingereza cha ki scotish cha kocha wake itamchukua muda sana kujipanga kwa maisha ya Uingereza.

 Shinji Kagawa Kiungo wa Man United

Shinji Kagawa aliyeshikwa kichwa 
katikati ya Rafael na Van Persie

Sunday, 26 August 2012

Barclays English Premier League: Hivi Ndivyo Ilivyokuwa

Manchester City Dhidi Ya Liverpool
Hii ilikuwa ni Man City dhidi ya Liverpool. Ilikuwa ni moja ya mechi nzuri na kali sana tangu kuanza kwa English Premier League. 

Liverpool walionekana kujipanga vizuri zaidi na kuwapa shida sana walinzi pamoja na viungo wa Man City. 

Kama siyo makosa ya walinzi wa Liverpool ambao kwa namna moja au nyingine tunaweza kusema ndiyo waliochangia Man City kusawazisha magoli basi stori leo zingekuwa nyingine kabisa. 

Magoli ya Man City yalifungwa na Yahya Toure na Carlos Tevez na yale ya Liverpool yalifungwa na Martin Skrtel pamoja na Suarez

 Juu: Tevez alimpiga chenga kipa wa 
Liverpool na kusawazisha goli la pili 
kwa Man City baada ya mlinzi wa 
Liverpool Martin Skrtel kufanya 
makosa ya kurudisha mpira kwa 
goli kipa bila kuangalia kama kuna adui ama la.

 Juu: Hapa Tevez akishangilia baada ya 
kufunga goli la pili kwa timu yake




Juu:  Man City wakipongezana baada  
ya kusawazisha goli la kwanza
 kupitia Yahya Toure.

 Juu: Huyu ni kijana mdogo sana
 Raheem Sterling, Winga wa kushoto, 
mwenye umri wa miaka 17 tu. 
Alionesha kipaji cha hali ya juu na 
kusumbua sana walinzi wa Man City.





Arsenal Dhidi Ya Stoke City
Arsenal walishindwa kwa mara ya pili mfululizo kuwaridhishwa mashabi wao baada ya kutoka sare tena kwenye mchezo wao huo wa jana. 

 Hawa ni mashabiki wa Stoke City
 wakiwa na Mask za Arsene Wenger
 kocha wa Arsenal

 Hapa kulikuwa na mpambano 
mkali sana kati ya Peter Crouch 
wa Stoke na walinzi wa Arsenal



Manchester United Dhidi ya Fulham 
 Man United walinda magoli 3-2 dhidi ya Fulham. Ikumbukwe kuwa mechi yao ya kwanza walifungwa na Everton 1-0.

 Huyu hapa juu ni Usain Bolt, 
mfukuza upepo maarufu sana, 
raia wa Jamaica ambaye ametokea 
kuwa mshabiki mkubwa wa 
Manchester United. Hapa alikuwa katikati ya
 uwanja kabla ya kuanza kwa mechi
 ya Man United dhidi ya Fulham.

 Wayne Rooney akipelekwa nje baada 
ya kujeruhiwa vibaya sana kwenye paja lake. 
Inasemekana atakaa nje  ya dimba kwa 
wiki nne mfululizo akiuguza jeraha.

 Usain Bolt na ushabika wake kwa Man United.

 Wayne Rooney akichati na Welbeck kabla hawajaingia uwanjani 


 Robin Van Persie akifunga goli la kusawazisha 
kwa Man United kwa ufundi wa hali ya 
juu kama ilivyo kawaida yake. 
Na hili ndilo goli lake la kwanza tangu 
ajiunge na Man United.

 Shinji Kagawa akishangilia baada ya
 kufunga goli la pili kwa Man United

 Rafael Da Silva akishangilia baada ya 
kufunga goli la tatu kwa Man United

 Juu na chini, hapa ndiyo wakati 
Wayne Rooney anaumia

Chelsea Dhidi Ya Newcastle
Chelsea waliwafunga Newcastle magoli 2-0

 Juu: Eden Hazard


 Torres akishangilia goli