Thursday, 30 August 2012

Jinsi Ilivyokuwa Kati Ya Madrid Na Barcelona Kwenye Super Cup


Real Madrid waliibuka na ushindi 
wa magoli 2-1 dhidi ya Barcelona na 
kufanya wafungane 4-4 (agg) na hivyo 
Madrid kuwa mabingwa wa Super Cup
 baada ya kuwa na magoli ya ugenini.


 magoli ya Madrid yalifungwa na Gonzalo Higuain
 na Cristiano Ronaldo, wakati lile la Barcelona 
lilifungwa kwa Free-kick na Messi. 
Huku Adriano akipewa kadi nyekundu baada 
ya kumchezea Rafu Ronaldo aliyekuwa 
akielekea kutingisha nyavu.

 Gonzalo Higuain akishangilia goli baada ya kufunga


 Messi akishangilia goli lake

 Ronaldo naye akishangilia hapa


 Ronaldo pamoja na Pepe wakilishikilia Kombe


 Juu: Higuain akifunga goli wakati chini akishangilia kwa style ya kutereza chini


 Ronaldo akifunga goli

Picture Sources: MailOnline, GETTY IMAGES, Reuters, EPA

No comments:

Post a Comment