RihannaAlimanusura

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Thursday, 4 October 2012

Simba vs Yanga; Jinsi Ilivyokuwa

Posted on 10:10 by Unknown
Jana ilikuwa ni siku nzuri sana kwa mashabiki wa soka nchini Tanzania baada ya kupata nafasi nzuri sana ya kushuhudia kandanda safi la watani wa jadi Simba na Yanga. Hiyo ilikuwa ni mechi iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu sana na mashabiki wengi. 

 Mlinzi wa Simba Shomari Kapombe akiudhibiti mpira uliokuwa
 unawaniwa na Said Bahanuz, mshambuliaji wa Yanga.

Yanga wakiwa nyuma kwa goli moja baada ya Simba kuwahi kufunga mapema sana kunako dakika ya 4 tu kipindi cha kwanza baada ya Amri Kihemba kuunganisha krosi iliyochongwa na Mwinyi Kazimoto, walicheza mpira kwa utulivu wa hali ya juu na kujaribu kutafuna nafasi mbalimbali za kusawazisha goli hilo. Lakini hadi wakienda mapumziko bado mambo yalikuwa magumu kwao. 

Kipindi cha pili kilishuhudiwa kwa timu zote kuendelea na kandanda safi japo Yanga walionekana kuwa ni zamu  yao kuutawala mchezo huku wakijaribu kuwatumia mawinga wake kupeleka mashambulizi langoni mwa wapinzani wao hao wa jadi.

Ilikuwa ni dakika ya 65 baada ya kosa la beki wa Simba Jonas Mkude kuunawa mpira na kuwazawadia Yanga penati iliyopigwa kwa ufundi na kwa shuti kali na Said Bahanuzi na hivyo Yanga kusawazisha goli.

Refa wa mchezo wa jana Mathew Akrama kutoka Mwanza alimzawaadia kadi nyekundu Simon Msuva kwa kujaribu kumdanganya mwamuzi kwamba aliangushwa na kumpiga teke kwa makusudi mchezaji wa simba zikiwa zimebakia dakika kama kumi hivi kumalizika kwa mchezo huo. 
 

Mwamuzi wa mchezo wa jana alijizolea sifa nyingi sana za kuushindwa mchezo huo kwani maamuzi yake mengi yalionekana kuwa na utata hasa baada ya kuonekana kuwanyima Simba penati na kulikataa goli la Yanga. Pia alitoa kadi ya njano kwa mchezaji wa Simba aliyefanya faulo iliyoonekana kustahili kadi nyekundu.

Vikosi vya timu zote mbili vilikuwa kama ifuatavyo:-

Yanga: Yaw Berko, Mbuyu Twite, Stephano Mwasika, Nadir Haroun, Kelvin Yondani,Athuman Iddi maarufu kama Chuji, Nizar Khalfan, Haruna Niyonzima Hamis Kiiza na Simon Msuva.

Simba: Juma Kaseja, Nassoro Masoud, Paul Ngalema,Juma Nyoso, Shomari Kapombe, Jonas Mkude, Amri Kiemba, Mwinyi Kazimoto, Felix Sunzu, Edward Christopher na Mrisho Ngasa.
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in | No comments
Newer Post Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Yanga Waenda Rwanda
    Yanga Waenda Rwanda Kujiandaa na Ligi Timu ya Yanga ya Dar es Salaam ambao ni mabingwa wa Kagame Cup 2012 wapo nchini Rwanda wakiwa wamewe...
  • Pictures of the Chinese baby Who fell into sewage pipe accidentally
    Being rescued Being fed Taken care of
  • ESPN WRITES; "All Eyes On Ronaldo in Seville"
    Quoting from ESPN:- Like it or not, all eyes will be on Cristiano Ronaldo at the Sanchez Pizjuan on Saturday night. La Liga returns for Jorn...
  • Know What Sir Alex Ferguson Says About Foreign Players? Read This...
    Foreign players guilty of diving; Says Fergie f Fergie in actions   Sir Alex Ferguson , Manchester United 's Manager, believes that fore...
  • Shanghai Shenhua Huenda Wakampoteza Drogba
    Kibarua cha mchezaji wa zamani wa Chelsea Didier Drogba huenda kikafika kikomo kwenye timu yake mpya ya Shanghai Shenhua baada ya kutokea k...
  • Torres Anauhakika Wa Kuziba Pengo La Drogba Chelsea
     Fernando Torres anauhakika kwamba ataziba pengo la Drogba kufuatia Mchazaji huyo toka Ivory Coast Kuuzwa huko Uchina kwenye timu ya Shangha...
  • IRENE MWAMFUPE JAMII: Polisi wazidi ‘kumchimba’ anayedaiwa kuua trafiki
    IRENE MWAMFUPE JAMII: Polisi wazidi ‘kumchimba’ anayedaiwa kuua trafiki
  • Chelsea 4, Reading 2
    Hivi ndivyo ilivyokuwa kwenye mechi ya  English Premier League jana Jumatano kati ya Chelsea  na Reading huko Stamford Bridge ambapo Chelse...
  • Wigan boss charged over post match comments against United
    The English Football Association has charged Wigan Manager Roberto Martinez for unruly post match comments that he made after the Barclays...
  • IRENE MWAMFUPE JAMII: MNYIKA AITWA IKULU
    IRENE MWAMFUPE JAMII: MNYIKA AITWA IKULU

Blog Archive

  • ►  2013 (192)
    • ►  August (53)
    • ►  July (29)
    • ►  June (40)
    • ►  May (10)
    • ►  April (9)
    • ►  March (28)
    • ►  February (6)
    • ►  January (17)
  • ▼  2012 (308)
    • ►  December (47)
    • ►  November (18)
    • ▼  October (48)
      • 5 Conclusions From Arsenal's 7-5 Win Over Reading,...
      • What does Jonny Evans Say About Fernando Torres an...
      • Will Manchester United Finish up Chelsea Once Agai...
      • What we Learnt from Chelsea v Manchester United La...
      • Nani Mkali wa Soka Miongoni mwa Wahispania Hawa?
      • Do You Know Mr. Mark Clattenburg, the Referee? Her...
      • This is What Took Place Inside the Stanford Bridge...
      • Will Robeerto Mancini Last Long?
      • One of These 5 May Replace Rio Ferdinand
      • Chicharito "The Superman" for Manchester United
      • Sir Alex Ferguson Prefers Guardiola to Take Over A...
      • Lampard Huenda Akaikosa Mechi Dhidi ya Manchester ...
      • The Angry Wenger
      • Hivi Unasemaje Kuhusu Patnaship ya Rooney na RVP?
      • Hawa Ndiyo Wakali wa Man United v Stoke City
      • Didier Drogba and His Colleague Anelka Aren't Paid...
      • Ashley Cole Apigwa Faini Huku John Terry Akiadabis...
      • Ni Sawa Kwa Man City Kumuuza Mario Balotelli?
      • At Last Drake Graduates From High School
      • Did President Obama Fight Back Very Well?
      • Penati zawatoa Waganda Kombe la Mataifa ya Afrika
      • Wapenzi wa Soka Senegal Wazusha Vurugu Baada ya Ku...
      • Ashley in The Squad Despite His Ugly Tweet.
      • Kibaki stands with outraged Kenyans, rejects Sh2.1...
      • Barack Obama jokes about poor debate
      • Man United Moto Kwa Newcastle
      • Happy Arsenal..! As it Happened Against West Ham.....
      • This is How Manchester City Won Easily Against Sun...
      • Player Ratings in Chelsea vs Norwich Match
      • US presidential debates: Fact or fiction? - Inside...
      • Unajua Aaron Ramsey wa Arsenal Amesema Nini?
      • Do You Know Who Said, "Joe Hart is World's Best Go...
      • Simba vs Yanga; Jinsi Ilivyokuwa
      • Hatimaye Jonjo na Sir Alex Ferguson Wapatana
      • These are the 5 Problems That Manchester United Sh...
      • What do You Say of The Wayne Rooney & Van Persie C...
      • Do You Think Nani Should be Sold in 2013?
      • Deabte: Who is Chelsea's Best Footballer Up to Now?
      • Man United vs CFR Clj. According to Bleacher Report
      • Simba,Yanga nani kuchimba dawa kesho? | darhotwire
      • Texas poll finds Romney ahead of Obama, Perry job ...
      • Mourinho to Return to England
      • Know What Sir Alex Ferguson Says About Foreign Pla...
      • Man United to Play Champions League Game Without K...
      • Messi: "Remember me as a Good Guy." As Written by ...
      • Gossips About Usher Raymond, Tiffany Evans & Robbi...
      • Final Debate Preparations of Obama and Romney
      • This is What Fans Learnt From Man United and Spurs...
    • ►  September (125)
    • ►  August (70)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile