RihannaAlimanusura

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Friday, 19 October 2012

Ni Sawa Kwa Man City Kumuuza Mario Balotelli?

Posted on 02:00 by Unknown
Ni mchezaji mwenye purukushani za kutosha awapo uwanjani. Purukushani zake ni za aina mbili. Zipo zile zinazoisaidia timu yake ya Man City pamoja na timu yake ya taifa ya Italy. Lakini pia zipo zile zinazowafanya siyo washabiki wa soka tu wakereke bali pia hata makocha wake.

Lakini Balotelli ni mchezaji mwenye kipaji cha cha pekee kwa miongoni mwa wachezaji wa umri wake.

Lakini sports director wa Man City, Brian Marwood, alikuwa na haya ya kusema kumuhusu Balotelli.
 
“I think that it’s important to make a good example. I think – and we all know who we are talking about – that you will get people within the system who do not show the right values and the right behavior.

“In the main, we have a ­fantastic group of players here. I look at Pablo Zabaleta, I look at Vincent Kompany, I look at Joe Hart, Gareth Barry and Joleon Lescott.

“I think we have a lot of players who can behave in the right way. You just have to make sure that they are the role models.”
Katika mambo aliyowahi kuyafanya Balotelli tangu ajiunge na Man City haya hapa machache:-

  • Set his house ablaze by letting fireworks off in his bathroom
  • Explained to police who stopped him in his car that he was carrying thousands of pounds worth of cash on his person by saying "because I am rich"
  • Sent out on an errand for cleaning products by his mother only to return with a delivery van containing a giant trampoline, Scalextric set, a table tennis set and two Vespa scooters
  • Drove into a women's prison in his hometown of Brescia to see what it was like inside
  • Threw a dart out of a first-floor window in the direction of some City youth-team players
  • Drove around Manchester city center dressed as Santa Claus throwing money to random members of the public.
  • sasa ukorofi wake na vituko vyake, wewe ungekuwa ndo bosi wake, ungemuuza?
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in | No comments
Newer Post Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Yanga Waenda Rwanda
    Yanga Waenda Rwanda Kujiandaa na Ligi Timu ya Yanga ya Dar es Salaam ambao ni mabingwa wa Kagame Cup 2012 wapo nchini Rwanda wakiwa wamewe...
  • Pictures of the Chinese baby Who fell into sewage pipe accidentally
    Being rescued Being fed Taken care of
  • ESPN WRITES; "All Eyes On Ronaldo in Seville"
    Quoting from ESPN:- Like it or not, all eyes will be on Cristiano Ronaldo at the Sanchez Pizjuan on Saturday night. La Liga returns for Jorn...
  • Know What Sir Alex Ferguson Says About Foreign Players? Read This...
    Foreign players guilty of diving; Says Fergie f Fergie in actions   Sir Alex Ferguson , Manchester United 's Manager, believes that fore...
  • Shanghai Shenhua Huenda Wakampoteza Drogba
    Kibarua cha mchezaji wa zamani wa Chelsea Didier Drogba huenda kikafika kikomo kwenye timu yake mpya ya Shanghai Shenhua baada ya kutokea k...
  • Torres Anauhakika Wa Kuziba Pengo La Drogba Chelsea
     Fernando Torres anauhakika kwamba ataziba pengo la Drogba kufuatia Mchazaji huyo toka Ivory Coast Kuuzwa huko Uchina kwenye timu ya Shangha...
  • IRENE MWAMFUPE JAMII: Polisi wazidi ‘kumchimba’ anayedaiwa kuua trafiki
    IRENE MWAMFUPE JAMII: Polisi wazidi ‘kumchimba’ anayedaiwa kuua trafiki
  • Chelsea 4, Reading 2
    Hivi ndivyo ilivyokuwa kwenye mechi ya  English Premier League jana Jumatano kati ya Chelsea  na Reading huko Stamford Bridge ambapo Chelse...
  • Wigan boss charged over post match comments against United
    The English Football Association has charged Wigan Manager Roberto Martinez for unruly post match comments that he made after the Barclays...
  • IRENE MWAMFUPE JAMII: MNYIKA AITWA IKULU
    IRENE MWAMFUPE JAMII: MNYIKA AITWA IKULU

Blog Archive

  • ►  2013 (192)
    • ►  August (53)
    • ►  July (29)
    • ►  June (40)
    • ►  May (10)
    • ►  April (9)
    • ►  March (28)
    • ►  February (6)
    • ►  January (17)
  • ▼  2012 (308)
    • ►  December (47)
    • ►  November (18)
    • ▼  October (48)
      • 5 Conclusions From Arsenal's 7-5 Win Over Reading,...
      • What does Jonny Evans Say About Fernando Torres an...
      • Will Manchester United Finish up Chelsea Once Agai...
      • What we Learnt from Chelsea v Manchester United La...
      • Nani Mkali wa Soka Miongoni mwa Wahispania Hawa?
      • Do You Know Mr. Mark Clattenburg, the Referee? Her...
      • This is What Took Place Inside the Stanford Bridge...
      • Will Robeerto Mancini Last Long?
      • One of These 5 May Replace Rio Ferdinand
      • Chicharito "The Superman" for Manchester United
      • Sir Alex Ferguson Prefers Guardiola to Take Over A...
      • Lampard Huenda Akaikosa Mechi Dhidi ya Manchester ...
      • The Angry Wenger
      • Hivi Unasemaje Kuhusu Patnaship ya Rooney na RVP?
      • Hawa Ndiyo Wakali wa Man United v Stoke City
      • Didier Drogba and His Colleague Anelka Aren't Paid...
      • Ashley Cole Apigwa Faini Huku John Terry Akiadabis...
      • Ni Sawa Kwa Man City Kumuuza Mario Balotelli?
      • At Last Drake Graduates From High School
      • Did President Obama Fight Back Very Well?
      • Penati zawatoa Waganda Kombe la Mataifa ya Afrika
      • Wapenzi wa Soka Senegal Wazusha Vurugu Baada ya Ku...
      • Ashley in The Squad Despite His Ugly Tweet.
      • Kibaki stands with outraged Kenyans, rejects Sh2.1...
      • Barack Obama jokes about poor debate
      • Man United Moto Kwa Newcastle
      • Happy Arsenal..! As it Happened Against West Ham.....
      • This is How Manchester City Won Easily Against Sun...
      • Player Ratings in Chelsea vs Norwich Match
      • US presidential debates: Fact or fiction? - Inside...
      • Unajua Aaron Ramsey wa Arsenal Amesema Nini?
      • Do You Know Who Said, "Joe Hart is World's Best Go...
      • Simba vs Yanga; Jinsi Ilivyokuwa
      • Hatimaye Jonjo na Sir Alex Ferguson Wapatana
      • These are the 5 Problems That Manchester United Sh...
      • What do You Say of The Wayne Rooney & Van Persie C...
      • Do You Think Nani Should be Sold in 2013?
      • Deabte: Who is Chelsea's Best Footballer Up to Now?
      • Man United vs CFR Clj. According to Bleacher Report
      • Simba,Yanga nani kuchimba dawa kesho? | darhotwire
      • Texas poll finds Romney ahead of Obama, Perry job ...
      • Mourinho to Return to England
      • Know What Sir Alex Ferguson Says About Foreign Pla...
      • Man United to Play Champions League Game Without K...
      • Messi: "Remember me as a Good Guy." As Written by ...
      • Gossips About Usher Raymond, Tiffany Evans & Robbi...
      • Final Debate Preparations of Obama and Romney
      • This is What Fans Learnt From Man United and Spurs...
    • ►  September (125)
    • ►  August (70)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile