Wednesday, 19 September 2012

Manchester United 1, Galatasaray 0; Chelsea 2, Juventus 2

Manchester United walishinda 1-0 dhidi ya 
Galatasaray katika mchezo wao wa 
Champions League uliochezwa jana 
Old Trafford.

Ferguson ameahidi kutorudia makosa 
ya mwaka jana ya timu yake kutolewa 
mapema kwenye mashindano hayo.


 Shinji Kagawa akiwa kwenye  
control kama mid-fielder

 Michael Carrick akimpiga chenga kipa wa  
Galatasaray na kufunga goli pekee la 
Man United jana kwenye mechi ya 
Champions League
 Kidogo jana akasirishwe na Nani 
aliyejitolea mwenyewe kupiga penati 
na hatimaye kukosa, wakti Ferguson 
anasema alitaka kazi hiyo apewe 
Robin Van Persie
 Carrick akichezewa faulo huku 
akifunga goli pekee
Nani alikosa penati



Chelsea walitoka sare ya 2-2 walipopambana 
na Juventus. Hata hivyo watapaswa wajilaumu
 wenyewe kwani wakiwa wanaongoza kwa 
magoli 2-0 yaliyofungwa na Oscar, walileta 
uzembe wa kutokukaba na kuwaachia Juventus 
wafanye mashambulizi ya mara kwa mara na 
hivyo kujikuta wakimaliza mechi kwa sare ya 2-2.



 Oscar akishangilia baada ya kufunga goli


Kipa wa Juventus akiwa haamini macho yake kama amefungwa

No comments:

Post a Comment