Wednesday, 19 June 2013

CHADEMA Walonga na Kusema: "Tutawapa Polisi Mkanda japokuwa wana nia mbaya ."

                                                 Bwana Mnyika


Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa CHADEMA Mh. John Mnyika amesema watatoa Mkanda wa ulipuaji wa bomu la Arusha kwa Polisi baada ya kupata ushauri wa kisheria hasa baada ya Polisi kuonyesha nia mbaya.
 
 
Source: chadematv

No comments:

Post a Comment