Thursday, 23 August 2012

Picha 13 za Mechi Ya Barcelona Dhidi Ya Madrid Hizi Hapa


Barcelona waliibuka na ushindi wa magoli 3-2 dhidi 
ya madrid ambao ndiyo walikuwa wa kwanza kuliona 
lango la Barcelona kupitia kwa Cristiano Ronaldo.



Barcelona walikuja juu na kufanikiwa 
kufunga magoli yao matatu kupitia 
kwa Lionel Messi, Xavi na Pedro



Goli la pili na Madrid lilifungwa na
 Di Maria baada ya uzembe uliofanywa
 na kipa wa Barcelona na Di Maria 
kuunasa mpira na kufunga goli.


 Mourinho, kocha wa Madrid alisema 
baada ya mechi kuwa hakuridhishwa 
sana na jinsi timu yake ilivyocheza
 kipindi cha kwanza kwani
 Barcelona waliwabana sana.




Kocha wa Barcelona naye alisema 
kuwa alitamani sana matokeo 
yangekuwa 3-1, lakini siyo mbaya 
kwani wamecheza 
vizuri na kustahili ushindi.






No comments:

Post a Comment