Chelsea walishinda magoli 2-0, huku magoli yote yakifungwa ndani ya dakika sita za kipindi cha kwanza. Ivanovic akifunga goli la kwanza dakika ya pili, wakati Lampard akifunga kwa penati katika dakika ya 6 baada ya Hazard kuangushwa kwenye eneo la hatari akiwa anaelekea kumchungulia golikipa wa Wigan.
Chelsea wakishangilia goli
Cech akidaka mpira bila wasiwasi
Eden Hazard akianguka chini na kupata penati
No comments:
Post a Comment