Monday, 20 August 2012

Chelsea Vs Wigan Athletic: Hivi Ndivyo Ilivyokuwa


Chelsea walishinda magoli 2-0, huku magoli yote yakifungwa ndani ya dakika sita za kipindi cha kwanza.  Ivanovic akifunga goli la kwanza dakika ya pili, wakati Lampard akifunga kwa penati katika dakika ya 6 baada ya Hazard kuangushwa kwenye eneo la hatari akiwa anaelekea kumchungulia golikipa wa Wigan.



 Chelsea wakishangilia goli

 Cech akidaka mpira bila wasiwasi


Eden Hazard akianguka chini na kupata penati

Source: The Telegraph

No comments:

Post a Comment